Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
What kinda dressing would you like?
Garlic sauce please (^O^)
What kinda dressing would you like?
hahahahah Captain bana ,
siku hizi ukiwa na fedha kila kitu kinawezekena ..
Hawa wachina na mavitu yao feki wanatajirika sana yaani..
ukiwa mvivu wa kufanya exercise .. mchina yupo kukupa
shortcuts. Yote maisha lakini ilimradi unapata utakacho..
Utaona celebrate kajifungua leo ,
ndani ya wiki yuko beach kakupigia bikini..
unabaki kuwaza mara mbili mbili mmmhhh
Hivi kwani lazima kitu kiwe original?
Sio lazima ila cha asili ni kizuri zaidi
Naam Rubani, siku hizi ni pesa yako tu ukiwa nazo za kutosha hakuna kinachoshindikana under the sun. Mtu atachongwa pua, mashavu, kidevu na hata macho hadi aipate sura aitakayo. Na kama ana figure mbovu mbovu basi atapigwa msasa eep: na kupata figure ya kukata na shoka. Akitoka hapo akipita mtaani Wanaume macho juu juu udenda unachuruzika :majani7: kumbe mdada hana chochote kile ambacho ni original toka kwa Muumba wetu.
Hivi kwani lazima kitu kiwe original?
Hivi Amerika ya marekani kuna uhaba wa maji? Mbona huyu Nick Minaj ana tongo tongo?
Nakuuliza hali tu.....unajiskiaje?
Huyu si Gaijin naemfahau. Kuna mtu kaiba password siamini haya maandiko kamwe
Huyu si Gaijin naemfahau. Kuna mtu kaiba password siamini haya maandiko kamwe
oaNjoo utoe maelezo yakinifu