Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Last edited by a moderator:
Mtakamatwa wengi sana hapo
Unamaanisha nini?
Nakuuliza hali tu.....unajiskiaje?
Najisikia freshi kabisa. Wewe wajisikiaje?
Hungry....sijui nina minyoo?!
Dahhhhh! Sidhani kama hili ni la kawaida:behindsofa:...labda la kuchonga
Are you okay Bubu? Lol
I've got some southern steak salad over here...want some?
Dahhhhh! Sidhani kama hili ni la kawaida:behindsofa:...labda la kuchonga
(((o(*゚▽゚*)o)))
Haraka iwezekanavyo
Ulemavu au mutation ya kiuongo kimoja?!
kama amezaliwa hivyo nampa hongera
na kama ni mchina kamfanyia kazi nzuri ...
Hebu kula tano Rubani...kama la mchina basi WIZI MTUPU!!!!
Sema captain ..
Dahh wachina wanajua kuchonga wewe..
wengine hutofautishi kama ni la muumba au mchina..
either way limemfaa kwa kweli..
Hongera zao hao wachina, siku hizi imekuwa kazi kweli kujua kama kitu ni cha mchina au kitu original toka kwa Muumba. Hata yule Nick Minaj ana umbo la kukata na shoka lakini inadaiwa ni la mchina.