Nina sehemu nataka kipima namba yangu ni 0754693444Karibuni sana.
Nina sehemu nataka kipima namba yangu ni 0754693444Karibuni sana.
Sawa mkuu. Yangu ni 0657317631Nina sehemu nataka kipima namba yangu ni 0754693444
Karibu mkuu. Kuna no yangu hapo juu. Marekebisho yanafanyika.Mm eneo langu linahitaji amendment,coz kuna kipande apaonekani kwenye mchoro
Sidhani kama accuracy ya simu inatosha kufanyia kazi. Tafuta mtu mwenye GPS au Total station.Hivi simu yangu ina Software za GPS, Longitude and Latitude n.k Nikichukua coordinates mwenyewe si unanipatia TP? Kama nimeelewa anyway
Namba yangu iko juu hapo.Nahitaji huduma kwa maelezo zaidi nipe namba yako ya whatsap
Napokea sms nyingi mkuu. Ukiona sijakujibu kwa muda, nipigie.Nimetuma sms hujapokea mpk muda huu
TUSAIDIANE BWANA, NIPE CONTACT NAMI ANISAIDIEWewe ni mwizi wa mchana kweupe, mimi nilichukua jamaa akachukua hizo GPRS cordinates na akaniomba Tsh 15,000/= tu za kulipia wizarani na baada ya two weeks tulionana na akanipa ramani yangu, iweje wewe kazi hiyo udai laki tano kama sio tapeli? Namshukuru huyo jamaa alinielimisha sana kuhusu matapeli kama wewe mleta mada
Hahahaha. Muombe vizuri contacts za huyo jamaa ili awasaidie na watu wengine.TUSAIDIANE BWANA, NIPE CONTACT NAMI ANISAIDIE
Suala kubwa hapa ni usahihi(accuracy) ya hicho kifaa. Na inaaminika simu usahihi wake ni mdogo mno. Inaweza kuhamisha point kwa meters nyingi sana. Pia hata GPS haina usahihi mkubwa kama wa Total Station, ila kwa sababu ya gharama watu huwa wanaamua kutumia GPS kwenye hatua hizi za mwanzo.Kwani nikitumia smartphone yenye GPS si napata coordinates tu au mpaka utumie DGPS?
Mpaka tuchukue coordinates mkuu, ndo tutajua kama ni halali kwa makazi au si halali.unafahamu chochote kuhusu maeneo ya kipunguni mashariki yaliyopo kitunda nyuma ya uwanja wa airport daresalaam na reli je ni halali kwa makazi? kuna mgogoro wowote nijuze kwa uzoefu wako au kama inavyoonekana ktk ramani hap ofsini kwako.
Tuelimishane kidogo unachukuaje coordinate mpaka ufike site? unalifahamu hili eneo nililokutajia? AhsanteMpaka tuchukue coordinates mkuu, ndo tutajua kama ni halali kwa makazi au si halali.
Mpaka nifike site ndiyo. Wewe ndo utanipeleka eneo husika ambalo unalilenga kwa maulizo yako. Mimi nitachukua coordinates then nitaziingiza kwenye mchoro. Na nitakupatia mchoro huo ukiwa unaonesha eneo hilo tulilochukua coordinates zake limetengwa kwa ajili ya nini.Tuelimishane kidogo unachukuaje coordinate mpaka ufike site? unalifahamu hili eneo nililokutajia? Ahsante