Kuchua fomu ya uraisi sherehe???

Dear

Member
Nov 18, 2009
46
3
Ukitaka kuumiza kichwa na nchi hii basi fuatilia siasa,
mimi nashindwa kuelewa kuchukua fomu ya kugombea uraisi ni sherehe na bendi zinakodishwa,na kurudisha pia ni sherehe,jamani ama ndio duniani haya mambo yanakwenda hivi mimi sielewi
 
Ukitaka kuumiza kichwa na nchi hii basi fuatilia siasa,
mimi nashindwa kuelewa kuchukua fomu ya kugombea uraisi ni sherehe na bendi zinakodishwa,na kurudisha pia ni sherehe,jamani ama ndio duniani haya mambo yanakwenda hivi mimi sielewi

Hii ni judgement tosha ya aina ya kiongozi utakayempata!!!
 
Back
Top Bottom