Kuchomwa moto Ofisi za TAKUKURU HQ

Kichakoro

JF-Expert Member
Sep 10, 2008
3,061
5,393
Wakubwa wana wa JF,Nilikua nafuatilia issue moja hapo TAKUKURU wiki chache zilizopita na kuna wakati nilizuiliwa kwenda hapokwa kisingizio kuna mkutano ullikua unaendelea hivyo hawaruhusu wageni. Mimi nilikua nafuatilia "mambo yangu".Ila baadae nilikuja kupata habari kwamba hakukuwa na mkutano wowote ila kulikua na uchinguzi unaendelea kwa sababukuna watu walivunja/waliingia ndani/ walitaka kuchoma moto au walichoma moto na kuiba baadhi ya nyaraka MUHIMU sanahivyo wengi wa wafanyaazi walipewa likizo ya dharura kupisha uchunguzi kufanyika.Nimefuatilia sana suala hilo nimegonga mwamba kupata ukweli nini kimetokea. Ukweli niliopata ni mmoja tu kwamba ni kwelikuna tukio lililotokea na baadhi au asilimia kubwa ya wafanyakazi walizuiliwa kuingia ofisini.Je usallama wa watoa taarifa uko wapi????? je mbona umma haukujulishwa kuhusiana na hujuma hiyo????Je ni nyaraka zipi MUHIMU zilizopotea au kuharibiwa?????? Je kuna suspect waliokamatwa??Nawasilisha hija
 
Binafsi siridhihswi na utendaji wa takukuru kwahiyo sidhani kama kuna nyaraka hata moja muhimu hapo zaidi ya makaratasi tu

Kama kungekua na nyaraka muhimu tungeona output....

Hivi for the pst 6 months wametoa products zipi??
 
Moja ya institutes zinazokula kodi yangu ninayokatwa kila mwezi bila kuona output zake ni Takukuru! Anyway, labda wanazibwa midomo ndo maana tunawalaumu.
 
Moja ya institutes zinazokula kodi yangu ninayokatwa kila mwezi bila kuona output zake ni Takukuru! Anyway, labda wanazibwa midomo ndo maana tunawalaumu.
hawana maana hawa, wanakula kodi na kuendesha magari ya fahari lakini hakuna output

ni sawa na kufuga ngombe dume tu labda lichinjwe ndio uuze nyama
 
Wakubwa wana wa JF,Nilikua nafuatilia issue moja hapo TAKUKURU wiki chache zilizopita na kuna wakati nilizuiliwa kwenda hapokwa kisingizio kuna mkutano ullikua unaendelea hivyo hawaruhusu wageni. Mimi nilikua nafuatilia "mambo yangu".Ila baadae nilikuja kupata habari kwamba hakukuwa na mkutano wowote ila kulikua na uchinguzi unaendelea kwa sababukuna watu walivunja/waliingia ndani/ walitaka kuchoma moto au walichoma moto na kuiba baadhi ya nyaraka MUHIMU sanahivyo wengi wa wafanyaazi walipewa likizo ya dharura kupisha uchunguzi kufanyika.Nimefuatilia sana suala hilo nimegonga mwamba kupata ukweli nini kimetokea. Ukweli niliopata ni mmoja tu kwamba ni kwelikuna tukio lililotokea na baadhi au asilimia kubwa ya wafanyakazi walizuiliwa kuingia ofisini.Je usallama wa watoa taarifa uko wapi????? je mbona umma haukujulishwa kuhusiana na hujuma hiyo????Je ni nyaraka zipi MUHIMU zilizopotea au kuharibiwa?????? Je kuna suspect waliokamatwa??Nawasilisha hija
Ni ofisi gani za Takukuru? Makao makuu au?
 
Binafsi siridhihswi na utendaji wa takukuru kwahiyo sidhani kama kuna nyaraka hata moja muhimu hapo zaidi ya makaratasi tu

Kama kungekua na nyaraka muhimu tungeona output....

Hivi for the pst 6 months wametoa products zipi??


Mkuu ni kweli hakuna jipya hata ile kesi ya Mramba et al. si unaona imekaa kimya.

Hata kama hakuna jipya huku kumwagiana tindikali, kupeana sumu and the like kuanziaga huku huku kwenye upotevu wa mafile/nyaraka za serikali
hasa vyombo kama hivi vwa uchunguzi wa tuhuma
 
Jamaa wanaudhi sana, wanalipwa maposho makubwa pamoja na magari ya kifahari lakini hawana lolote, wanatumika tu kisiasa kama jamaa wa Usalama wa Taifa. Sisi ambao tunaingizia serikali mapato hatupati hata nusu ya maslahi wanayolipwa Takukuru na Usalama wa Taifa. Damn them!!
 
Napendekeza taasisi hii ivunjwe kwani haina ufanisi na imeshindwa kuzuia kabisa rushwa yaani haina technic ya kuwakamata wapenda rushwa.
Wanalipwa mishahara na posho kubwa lakini pesa ''wanayookoa'' ni kidogo. Ni sawa na kuunda tume inayotumia shs 10M ili ichunguze upotevu wa shs 2M.
Sheria tu zizingatiwe kama ilivyokuwa enzi za utawala wa awamu ya kwanza ambako hatukusikia taasisi iliyokuwa imekaa tu imebweteka inayoitwa ''TAK.O-HURU''
 
kama kuna transfoma ya umeme karibu itawachapa bakora kama star times.
wafujaji tu hawa hawazalaishi chochote hata mkuu wao alipoisafisha dowans
bado yupo hakuna hatua alochukua,hakuna nashauri fungu lao
lipelekwe ktk huduma muhimu kama shule na hospitali ofisi ifungwe kabisa
wafanyakazi wahamishiwe wizara zingine.
 
Wakubwa wana wa JF,Nilikua nafuatilia issue moja hapo TAKUKURU wiki chache zilizopita na kuna wakati nilizuiliwa kwenda hapokwa kisingizio kuna mkutano ullikua unaendelea hivyo hawaruhusu wageni. Mimi nilikua nafuatilia "mambo yangu".Ila baadae nilikuja kupata habari kwamba hakukuwa na mkutano wowote ila kulikua na uchinguzi unaendelea kwa sababukuna watu walivunja/waliingia ndani/ walitaka kuchoma moto au walichoma moto na kuiba baadhi ya nyaraka MUHIMU sanahivyo wengi wa wafanyaazi walipewa likizo ya dharura kupisha uchunguzi kufanyika.Nimefuatilia sana suala hilo nimegonga mwamba kupata ukweli nini kimetokea. Ukweli niliopata ni mmoja tu kwamba ni kwelikuna tukio lililotokea na baadhi au asilimia kubwa ya wafanyakazi walizuiliwa kuingia ofisini.Je usallama wa watoa taarifa uko wapi????? je mbona umma haukujulishwa kuhusiana na hujuma hiyo????Je ni nyaraka zipi MUHIMU zilizopotea au kuharibiwa?????? Je kuna suspect waliokamatwa??Nawasilisha hija

Takukuru hawana chochote muhimu.
Wao wana dili zaidi na rushwa za chips kuku.
Zile rushwa kubwa hawana time nazo kwa sababu tume, CAG, na kamati za bunge wanazishughulikia.
Takukuru zaidi wana deal na rushwa za mahakimu wa mahakama za mwanzo.
 
Inabidi tufike mahali ambapo taasisi hizi ziishi kwa kutegemea na output ............

to be honest sijui lolote kuhusu TAKUKURU zaidi ya kujua kirefu chake kuwa ni "TAASISI YA KUPAMBANA NA KUZUIA RUSHWA" labda nyongeza kidogo tu ni jina la Yule sijui ndo Mkurgenzi ED-ward Horse-a ........That is all i know about that TAKUKURU thing.......
 
Back
Top Bottom