Kuchoma mifuko ya Plastic kwa ajili yakuwashia moto

pilau

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
1,593
443
Kuna tabia imezuka sehemu mbalimbali hasa uswahilini .......watu,wananchi wenye kipato kidogo, hasa wale wanaoshindwa kununua mafuta ya taa kwa matumizi ya kawaida, wameamua kuchoma mifuko ya plastic kwa ajili ya kuwashia majiko yao ya mkaa, ni jambo la kawaida kupata harufu za mifuko hiyo hasa wakati wa asubuhi ....... nini madhara yake
 
Back
Top Bottom