Msaada tafadhali
Nimedownload FIFA 2011 gb 4.5, Football menager g.b 4.3, nikizifungua zinaenda direct kwenye kuburn kwanza.. nimeburn ila CD still hazikubali kuplay kwa mwenye kufahamu hizi game zinachezwa vipi naomba msaada
Hta hiyo ya 6.3g.b nilidownlload still ninayo but nikdouble click inanitaka niburn so sijui kama kuna CD za capacity hiyo ua help sir ww umeweza vipi kuicheza?mkuu mimi nina fifa2011 it is 6gb sasa hiyo yako sijui demo?otherwise you need to install as young master said
Hta hiyo ya 6.3g.b nilidownlload still ninayo but nikdouble click inanitaka niburn so sijui kama kuna CD za capacity hiyo ua help sir ww umeweza vipi kuicheza?
What u have to do is to mount it using daemon tools lite or power iso and then install as if it was burned on CD
ndio mkuu nimeburn CG then nikijaribu kuinstal ndo hapo inagoma so sikui kama kuna special Cd tofauti na hizi za kawaida zinaitajika mi nimetumia DVD za 4.7. Demo huwa ni ndogo zina less than 1.5gb ninayo na inaplay. vipi hiyo ya 6gb uliiiburn kwanza? na unatumia CD zipi ama kuna namna ya kuipunguza?
Download software inaitwa power iso ndo itakusaidia kumount na kufanya installation ya hilo game