Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Ibara ya 51 (2) inasema Waziri Mkuu atateuliwa ndani ya siku 14.
Ibara ya 55 inaongelea kuhusu uteuzi wa Mawaziri na Manaibu Mawaziri, lakini iko silent kuhusu muda ambao Raisi inabidi ateue hao waakulu.
Kuhusiana na Mawaziri wa zamani kama bado ni mawaziri Ibara ya 57 inaongelea tenure of office of Ministers and Deputy Ministers, A.57(2)(f) "immediately before the President elect assumes Office". So, the office of Ministers and Deputy Ministers among others things became vacant when the Chekibobu assumed that high position of the president of URT. Hivyo Masha na wenzie sio mawaziri kwa sasa.
Mkuu asante kwa maelezo yakinifu.