Kuchelewa Baraza jipya la Mawaziri: Wanaopendekezwa wizara zinazolalamikiwa sana wanakataa

Kuunda baraza la mawaziri ni rahisi kabisa kwani makatibu wakuu wa wizara ndio wataalamu, awape akina Komba na ikishindikana abadilishe maboga yaleyale kwa kubadili wizara
 
Inaelezwa 'inaonekana hata awe nani, akiwekwa kwenye wizara mfano, ya uchukuzi, kufufua ATC au TRC ni mzigo mkubwa kutokana na mazingira yanayotokana na mikataba ya kihuni iliyoingiwa huko nyuma, na kwa vyovyote atakayekubali kuingia kuchukua kiti ndani ya wizara hizo, hususani, Madini, uchukuzi, awe tayari kuzomewa kwani mabadiliko ya maana ni ndoto, especially kwa mfumo huu tulionao sasa.
Njia pekee ya kuondokana na mikataba hiyo ya kihuni, wakati umefika kwa serikali kuamua kutaifisha moja kwa moja maeneo hayo yaliyofanyiwa uhuni; ijapokuwa kwa kufanya hivyo ijiweke tayari kulipa gharama na pengine hata kutengwa kwa muda. Tukumbuke ujasiri wa Mwalimu Nyerere alivyolishughulikia suala la kampuni ya Lonhro. Lakini sio kutaifisha tu lakini kukabidhiwa mtu ambaye atakuwa makini na muwajibikaji kama Magufuli ili kusimamia uendeshaji wake.
 
Namhurumia rais JK ana kazi ngumu kupata watu walio waadilifu ndani ya chama chake. Laiti Katiba ingeruhusu mawaziri wasiwe wabunge, ingekuwa rahisi kuteua watendaji serikalini na kwenye sekta za umma ambako kuna vichwa vya kutosha.
 
Awape technocrats wizara hizo (tupo wengi tu!). Wanasiasa wameshashindwa.
 
Kuna tetesi (uwezekano) kwamba, kuchelewa kutangazwa kwa baraza la Mawaziri ni ugumu uliopo kwa mamlaka ya uteuzi katika kupata watu makini, katika wizara "tata" za Madini na Uchukuzi, ambapo kati ya mawaziri wa sasa 'machachari' hawataki kubebeshwa 'kikombe hicho'

Inaelezwa 'inaonekana hata awe nani, akiwekwa kwenye wizara mfano, ya uchukuzi, kufufua ATC au TRC ni mzigo mkubwa kutokana na mazingira yanayotokana na mikataba ya kihuni iliyoingiwa huko nyuma, na kwa vyovyote atakayekubali kuingia kuchukua kiti ndani ya wizara hizo, hususani, Madini, uchukuzi, awe tayari kuzomewa kwani mabadiliko ya maana ni ndoto, especially kwa mfumo huu tulionao sasa.

My Take: Kwa waadilifu, wakubali, kwani ni katika wizara hizo 'mbaya' ambako kiongozi anaweza kufanya 'diference' na kuonesha uwezo wake tofauti na waliomtangulia. Hata asipoweza kuifanya Reli ifanye kazi katika mwaka wa kwanza, akichukua hatua ya kuwajibisha wahujumu wote na kufutilia mbali mikataba yote mibovu, na hivyo kuhakikisha yanakuwepo mazingira mazuri ya utendaji kazi, kila mtu ataona juhudi hizo na kwa hakika ndani ya muda fupi, hata kama ni miaka 2-3, matunda yataonekana.

Naomba nipewe Wizara korofi kwa miezi 18 tu, ntakiwa nimeirekebisha kwa kiasi kikubwa.matokeo 17 yatatangazwa kila mwezi.....
 
wafanye mseto wapate msada wa chadema.....vinginevyo zaidi ya magufuli sioni mmbunge mwingine yeyote wa ccm anayefaa kuwa waziri!!!!!!!

Tusishangae pale lusinde atakapopewe wizara

jk aazime wabunge wapi? Joseph selasini,mbunge wa karatu,mbunge wa mbulu,mbunge wa ukerewe mchango wao unatofauti gan na wabunge wa CCM,weken hapa umachachari wao au tofauti yao na watu kama Akina Idd Azzan,Mtemvu n.k
 
Rais Kikwete wala asisumbuke, aunganishe Nishati, madini na uchukuzi ziwe wizara moja na amkabidhi Magufuli. Simple.

Magufuli sio Mungu. Kwanza wamuache hapohapo kwenye ujenzi asimamie lami zetu vizuri kwanza kabla ya kuhamisha.
 
Hivi ni nani aliyewaambia kuna baraza jipya la mawaziri linaundwa?

Huu ujinga huwa mnautowa wapi?
 
Probably! Nilimsikia Waziri 'Tyson' akiiponda hoja ya majimbo. Eti anadai Tz area yake ni kama jimbo la Texas kule US hivyo kuigawa into states ni ngumu. Pia akadai ni kuongeza gharama za uendeshaji wa hizo states. Je hoja hizi zikoje? Kwani hakuna mifano ya nchi zenye area ndogo kuliko hizo za China, Canada na Marekani lakini zina states? Najua hapa ktk jamvi wapo watu wanaoweza kusadia kwa hili. HEBU WEKENI FACTS HAPA

Ngugu huyo Wassira anajua nini?? kazi yake kulala tu bungeni.

Tanzania ina rasilimali nyingi, zote hizi haziwezi kusimamiwa na waziri mmoja. Lazima tuuwape wananchi madaraka zaidi, na kupunguza excees authority from centre gvt.


Kuhusu gharama za uendeshaji:
Hivi Tanzania kuna wakuu wa mikoa wangapi, na wakuu wa wilaya wangapi???
ambao hawana kazi? wakuu wa mikoa na wilaya ni kama vivuli tu.

Mimi nawashangaa viongozi wa Tanzania. Kwai ni matumizi mabaya kusimamia au kuweka utawala bora.

Kwa mfano Kuna kiongozi mmoja hata humu JF alitamka.
"Kwamba gharama za kumfukuza mfanyakazi wa umma ni kubwa, kwahiyo ni bora waachwe palepale, ila tu waonywe tu kuhusu ubadhilifu wa hela za wananchi"

Ndugu hayo ndo maoni ya viongozi wetu. Viongozi wetu wanaona ni gharama kutoa sh 10 kumufuka mtu. Kuliko sh 1000 anayotia hasara serikali.

Kwa mtindo huo ndo maana Wassira atakuambia states gvt ni upotevu wa hela. Wakati Tanzania kuna wakuu wa mikoa na wilaya wengi ambao hawana kazi na wala hawajui kazi zao nini???

Mimi leo ukiniuliza jina la mkuu wa wilaya wangu sijui.
 
Magufuli sio Mungu. Kwanza wamuache hapohapo kwenye ujenzi asimamie lami zetu vizuri kwanza kabla ya kuhamisha.


Huyu ni basi tu mungu kamchagulia kuwa huko aliko lakini alishauza nyumba za serikali hafai hata kwa kulumangia bada, kadri wanavyomsifia basi subirini auze na barabara zenu za viraka vya Lami
 
wafanye mseto wapate msada wa chadema.....vinginevyo zaidi ya magufuli sioni mmbunge mwingine yeyote wa ccm anayefaa kuwa waziri!!!!!!!

Tusishangae pale lusinde atakapopewe
wizara
wizara mpya ya matusi
 

Huyu ni basi tu mungu kamchagulia kuwa huko aliko lakini alishauza nyumba za serikali hafai hata kwa kulumangia bada, kadri wanavyomsifia basi subirini auze na barabara zenu za viraka vya Lami
[/QUOTE
Haimaanishi kuwa yeye ndo msafi,ila ana afadhali
 
JK hajasema kama anataka kupangua baraza lake la mawaziri. Kamati Kuu ya CCM ndio'' imemshauri''. Atachukua uamuzi wao? lini? hakuna anayejua zaidi ya JK pekee. Ni ajabu watu kuanza kuja na story au tetesi ya aina yoyote ile

inaelekea hukusikia vyema tamko la Kamati Kuu na wala hukumsikia mwenyewe akihutubia wakati wa Mei Mosi.

unajua, amekwepa sana kubadili/kuvunja balaza lake kwa muda mrefu, kwa kisingizio cha habari kuleak kwenye magazeti, lakini sasa maji yamefika shingoni, kuvunja ni lazima, iwe isiwe, vinginevyo akawasilishe mwenye bajeti bungeni mwezi juni.

na anachofanya JK si uungwana kabisa maana, ameiweka nchi kwenye hatihati, hakuna hata waziri mmoja mwenye uhakika wa 100% kurudishwa kwenye baraza na inakuwa mbaya wanapokuwa katika haliyo kwa siku kadhaa achilia mbali wiki kadhaa, yaliyotokea yanaweza kujitokeza katika kipindi hiki kifupi ambapo, mawaziri hawa ambao hawajui kesho itawakuta wanaweza kuanza kujiandaa kuondoka na hivyo kusaini mikataba haraka haraka, kama alivyofanya mkullo, alipomuuzia kiwanja METL tunaambiwa ilikuwa ni siki tatu kabla ya uchaguzi, alikuwa anajua lolote laweza kutokea kwenye uchaguzi mkuu
 
Hivi limechelewa kwa kiasi gani? Mimi naona bado JK Na wahusika wengine wanahitaji muda wa kuwa makini katika uchambuzi wa kila mmoja watakaye mteua. Jamani tusimpush push afanye haraka mwisho atuletee koroma. Let's be patient, hivi Baraza la watu zaidi ya hamsini laweza undwa kwa Siku chache tu? Halafu tunataka efficiency? Nyie watu mwaniboa.
 
Aunganishe baadhi ya wizara ziwe kama kumi.awateue technocratic kama hana nje ya wabunge afute wabunge wa kuteuliwa na raisi ili nafasi zao zichukuliwe na hao wapya
 
Back
Top Bottom