BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
hahahahahahaha we ukishaniazima hilo jiafro andika maumivu :lol:maana hamna kitakachokusaidia kuzipata tena.....cha ajabu mayai hata sili naogopa kuota nanihii ila nywele mtihani halafu uliza wapi kisogoni hahahahahahhahahah!
Dah! Kisogoni tu ndio zimenyonyoka!? Hebu angalia vizuri banaaa usikute zimenyonyoka sehemu nyingi tu hahahaha lol! (nakuchokoza).... Basi itabidi usaini makaratasi kuthibitisha kwamba kama zikiota utanirudishia nywele zangu vinginevyo itabidi nikuuzie kama utakubali bei nitakayokupangia.