Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mitihani ya kidato cha nne ya taifa inayoendelea imechapwa huko UK. Watahiniwa binafsi wakifanya mitihani tofauti na ile ya mashule. Yote haya ni katika jaribio linaloonekana kufanikiwa la kuzuia uvujaji wa mitihani. Je tumekiri kushindwa kuchapa mitihani yetu wenyewe kwa usalama? Ni kipi tunachoweza kukifanya vizuri sisi wenyewe na tukaona fahari?