Hi
Je kuna yeyote anayejua jinsi ya kuchangia maoni ya katiba mpya? navyokumbuka ni kwamba kuna email iliyotangazwa tht kupitia hiyo mwananchi anaweza kutoa maoni yake; does anyone rem this?
Pls i need to know how to changia mawazo kwenye katiba mpya
Thanks
Pihu
Je kuna yeyote anayejua jinsi ya kuchangia maoni ya katiba mpya? navyokumbuka ni kwamba kuna email iliyotangazwa tht kupitia hiyo mwananchi anaweza kutoa maoni yake; does anyone rem this?
Pls i need to know how to changia mawazo kwenye katiba mpya
Thanks
Pihu