Ballerina
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 386
- 186
:mod:
Wana JF nishaurini,nina tatizo la muda mrefu kidogo like 3months,kucha zangu za miguuni zinanyofoka sijui kwa nini.Tena hakuna maumivu yoyote,na ndani nakuta kimeanza kuota kikucha kidogo.Yaani ni kama staili ya jino linavyoanza kutingishika then linang'oka tofauti ni kwamba kucha inapoanza kutaka kun'goka kunakuwa na nyingine imeshaota kwa ndani.
Nini tatizo na matibabu yake ni nini ndugu zangu?
Wana JF nishaurini,nina tatizo la muda mrefu kidogo like 3months,kucha zangu za miguuni zinanyofoka sijui kwa nini.Tena hakuna maumivu yoyote,na ndani nakuta kimeanza kuota kikucha kidogo.Yaani ni kama staili ya jino linavyoanza kutingishika then linang'oka tofauti ni kwamba kucha inapoanza kutaka kun'goka kunakuwa na nyingine imeshaota kwa ndani.
Nini tatizo na matibabu yake ni nini ndugu zangu?