AppreciatedHii ni saikologia nyepesi; huyu jamaa ametumwa ili amfanye Kubenea asiwandike hao aliowataja kwa kuhofu kuwa akiwaandika atakuwa anatekeleza au kuthibitisha tuhuma. Ukweli utabakia kuwa yeyote ambaye si- mwadilifu ajiandae kusomwa kwenye Mwanahalisi na mambo yake yatawekwa wazi tu. Hakuna wakuonewa haya, wala wa kupendelewa, wala atakaye weza kumnunua Kubenea. Kubenea angekuwa wa kununuliwa angeshanunuliwa zamani sana. Hilo hata R.A na wenzake wote wanalijua. Ushauri wangu kwa uliyetumwa kuandika haya, waambie wahusika waache usanii, na uabadhilifu wa mali za umma, na walitumikie taifa letu kwa uaminifu. Habari zao zitasomwa na wao watapongezwa, vinginevyo wajiandae kuanikwa uovu wao.
u hv spoken ma mind