Simba mnyama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 348
- 129
"Mimi sioni kama gazeti la Mwanahalisi linaandika habari za uchochezi kama zinavyo daiwa lakini hiyo ni njama ya mtu ambaye analengo la kutaka kuwafunga mdomo waandishi wa habari ili wasieleze mambo ya kweli jambo ambalo halikubaliki," alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali halisi , inayochapisha Gazeti la Mwana Halisi, Saed Kubenea, na kuongeza kuwa siyo vyema kulifungia gazeti hilo kwani habari zinazoandikwa zinafuata maadili na taaluma ya uandishi wa habari.
"Nipo tayari kufa lakini nitaendelea kutetea haki za watanzania mpaka mwisho wangu,"
Chanzo: http://www.mwananchi.co.tz
"Nipo tayari kufa lakini nitaendelea kutetea haki za watanzania mpaka mwisho wangu,"
Chanzo: http://www.mwananchi.co.tz