Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Mkuu,
Moja ya watu wapole duniani ni mie. Ila ningelipewa MADARAKA basi usingeliamini kuwa ni huyu Sikonge unamfahamu.
Mie na homeboy Samuel Sitta hatufahamiani. Ila kama ningelimwambia jina la baba yangu mdogo wa Urambo basi KWA VYOVYOTE VILE ANAMFAHAMU. Kwa maana nyingine, jina la familia yetu Sitta alifahamu. Huyu bwana nimekuwa mpinzani wake mkubwa kwa UFISADI wake tangu awe CDA. Ila kama kuna siku alinifurahisha ni siku alimwambia Kikwete "AWE MKALI KIDOGO". Kwa hili brother Sitta ulizoa maksi nyingi sana kwangu.
Wakati mwingine kwa WAPUUZI kama Kubenea, ningelikuwa Rais basi si ACID tu ila ntafanya kibaya zaidi. Kama anaandika ukweli ambao kwa sababu moja au nyingine unaleta hali ya hewa mbaya kisiasa, ninaweza kumwita na kumwambia kwa nini tunaDANGANYA hivi. Ila kama anadanganya na kupotosha habari, basi lazima afahamu kuwa ACID ni cha mtoto.
Kwa upande fulani ni MPENZI wa siasa za KICHINA, hasa ukikumbuka maneno ya Kikwete mwenyewe kuwa 70% ya Watz ni MIFUATA UPEPO. Ina maana kuwa hawa watu inabidi kuwaongoza kama kondoo. Ukitegemea waende wenyewe basi utasubiri sana.
Rais Msanii na mwenye kuchekacheka muda wote hafai kwa nchi masikini. Hebu fikiri watu wanamwambia Rais aende Mtwara kufungua daraja la kwenda Msumbiji (Kubenea type) na akifika hapo anakuta daraja halijaungana. Anaishia kumtuma Mla panya Membe kwenda Msumbiji kwa kimtumbwi eti kwa sababu yeye hafahamu kuogelea. Hawa liomdanganya Rais wanatakiwa wamwagiwe kitu kibaya zaidi ya Acid. Ila kama wewe kiongozi unachekacheka, watakuwekea vidole machoni.
Kama kubenea kashaamua kuwa Mwanasiasa na anacheza Siasa kwenye uandishi wake, hamna tena huruma. Tutamlima kwa kila upuuzi wake na hatapata huruma tena. Kama alimess up na mke wa mtu zamani basi afahamu kuwa kama kama mwanasiasa sasa yeye ni CHAKULA YETU.
Mhh timu Mwakalinga wanachukua play book toka kwa mfadhili wao mkuu - Lowassa.
Hawa watu wakipewa nafasi tena, jehanamu itakuja kabla ya wakati wake. MUNGU azidi kumlinda mpiganaji Mwakyembe toka kwa mafisadi na watu wenye visasi kama hawa.