Baba Ubaya
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 127
- 19
Mzee game theory hueleweki naona huna data kabisa ni bola ungekaa kimya
Kisa kaongea game theory angeongea mwanakijiji au Invisible same thing mngeona ana make sense ila kwa sababu ni GT mnaona ana lose mind au analipuliza...hebu acheni ukuda!...kama mada huelewi si uulize tuu!....
Acheni fitina
Sio fitina K1. Ila mguu wako lazima umebeba weight ya kutosha...teh teh teh
It would be nice if you would counter toe for toe, in the great JF tradition of interesting intellectual interchabge courtesly coupled with due diligence inculcated data based debate.
Kwanza, ni lini Kubenea alitoa ahadi hiyo ya mkutano wa kumwanika RA na wapi? (angalau tuwe na msingi wa kuanzia, maana kama hakukuwa na mkutano huo wala ahadi hiyo the whole thread collapses).
KUBENEA ambaye kwa sababu anazozijua yeye aliamua kufanya PRESS CONFERENCE YA KUMPA masaa 24 mheshimiwa ROSTAM AZIZ aombwe radhi baada ya kumhusisha Kubenea na UFISADI lakini katika hali isiyo ya kawaida Kubenea amechomoa bila sababu za msingi.
Huo mkutano ulitakiwa kufanyika Baleni Mafia mbele ya "ndugu, jamaa, na marafiki" kiasi kwamba tuambiwe kuwa kitendo cha kutofanyika kimewafanya hilo kundi kusikitika? Kama ilikuwa ni kikao cha familia sisi kinatuhusu nini? Kama kilikuwa cha manufaa kwa taifa kwanini wanafamilia waonekane kusikitishwa zaidi?Taarifa zaidi toka Baleni Mafia zinasema kuwa ndugu jamaa na marafiki wamesikitishwa na kitendo cha kijana wao kutofanya hiyo press conference ambayo pamoja na mambo mengine ingemwanika ( whatever it means nowadays) mheshimiwa Rostam na kumweka wazi kwani Kubenea anazo DATAZ ambazo angemkoma "Nyani Giladi"
the functional word here is "inawezekana"... do we know how many things in this word are "possible or probable".. in other words the opposite is also true which means the reasoning is totally and intrinsically flawed.Na katika duru za waandishi kuna habari kuwa inawezekana kuwa naye kesha pewa chochote kama alivyokuwa akipewa na LOWASA ndio maana katulia...na hii inawezekana ni kweli
now this is a statement of fact.. this is a definitive statement that "Kubenea" ameitukana "saaaaaana" serikali ya JK na JK mwenyewe "akidai (kwamba kitendo hicho kinaendelea, this is present participle) kuwa ni "fisadi". Lets pause for a second and question our sanity.. lini, wapi na kwa namna gani Kubenea aliwahi kumuita JK ni "fisadi". The burden of proof is not on Kubenea to prove that he didn't say that or claim that, the burden of proof is on the author to prove that he did.kwani alikuwa anaitukana saaanaaaa serikali ya JK na JK mwenyewe akidai ni FISADI
such a wide gate of possibilities, I dare not walk through it!na mengineyo
The author claims that there was a meeting between Lowassa and Kubenea, this is a claim of fact. And that, in this alleged meeting there was a promise given and because the promise was not fulfilled then Kubenea resorted to "kuitukana barabara serikali ya JK kuwa ni ya kifisadi". What a charge! Again, the burden of proof is not on Kubenea but on the author to show (even remotely) that this indeed did happen.na hata ule mkutano na Lowasa aliahidiwa MATANGAZO KWENYE GAZETI LA MWANAHALISI lakini alipoona kimya (baada kuambiwa kuwa avute subira) akaamua kurudi na nguvu zote kuitukana bara bara serikali ya JK kuwa ni ya kifisadi
"Mpaka" simply means, that after this things changed. That the incident was transformational to Kubenea. How is this?Mpaka alipomwagiwa tindikali baada ya gari lake kuvunjwa viooo
Hapa tunajiuliza walipia toka mifuko yao na fedha zao binafsi? au walilipa kutoka fedha za serikali ambazo ni za wananchi wa taifa hili? Kama ilikuwa ni kutoka mifuko yao binafsi "mafisadi hao hao" then ipo hoja, lakini kama fedha ni za serikali, ina maana Kubenea ana haki nazo kama Mtanzania mwingine yeyote anayehitaji huduma ya namna hiyo. Ni kama walivyomsaidia Athuman Khamisi au mgonjwa mwingine. Ufisadi wa mtu serikalini haufanyi hela ya serikali kuwa ni haram!Lakini mafisadi hao hao aliowaita mafisadi ndio walimlipia gharama za matibabu kwenda INDIA India
the argument here claims to know that "price ya Kubenea ni ndogo sana". How does someone know that except that he/she has a personal knowledge of such a thing? Which begs the question, how much is "ndogo sana"?hivyo we should not rule out kuwa naye amekuwa compromised kwenye hili sakata ka ufisadi kwani price ya KUBENEA ni ndogo sana...
A great leap from imagination to conclusion of a fact! Jajji yeyote atakutimua mahakani for such a leap!matangazo kwenye gazeti lake na hivi sitoshangaa kusikia kuwa keshavuta kwa hao hao anaowaita MAFISADI kwa kwa sababu hivyo nadhani tunaweza kusema kuwa KUBENEA NAYE NI FISADI
so basically this was the purpose all along to finally say "fisadi huyu" without showing logically or methodically how you reach such a conclusion. Is this based on "inawezekana, nadhania n.k" Well.. if this is what an intellectual "interchange" is then intellectual has lost its meaning...LAKINI inawezekana fisadi huyu anakula kote kote yaani kwa MENGI na kwa ROSTAM kwani ndio kawaida yake
unfortunately, the tradition of speculation still rules; this is not the same as a tradition of intellectual exchange in the arena of ideas. The whole premise of the thread has no foundation in data nor debate. It is purely presumptive, speculative and absolutely destructive to the the very thing called debate.
The author has leaped illogically and superficially from imagination to claims of conclusive statements of facts. Such a leap in unwarranted and can not call for an honest "counter toe to toe". May I show this through a skillful and meticulous disection of the argument?
Kwanza, ni lini Kubenea alitoa ahadi hiyo ya mkutano wa kumwanika RA na wapi? (angalau tuwe na msingi wa kuanzia, maana kama hakukuwa na mkutano huo wala ahadi hiyo the whole thread collapses).
How does he know kuwa "amechomoa bila sababu za msingi"? Kutokutokea mahali siyo sawa na kutokuwa na sababu ya msingi. Kutokuwa na sababu ya msingi ni kuwa umemsikia sababu anazokupa na haziingii akilini; so, sababu gani imetolewa na Kubenea (assuming kulikuwa na mkutano huo) kiasi kwamba ni ambazo hazina "msingi" na sababu zipi zingekubalika kuwa ni za "msingi" na nani anayeamua sababu anazotoa mtu kuwa ni za msingi au la. Kama aliamua kulala apumzike je hiyo ni sababu ya msingi au la?
Huo mkutano ulitakiwa kufanyika Baleni Mafia mbele ya "ndugu, jamaa, na marafiki" kiasi kwamba tuambiwe kuwa kitendo cha kutofanyika kimewafanya hilo kundi kusikitika? Kama ilikuwa ni kikao cha familia sisi kinatuhusu nini? Kama kilikuwa cha manufaa kwa taifa kwanini wanafamilia waonekane kusikitishwa zaidi?
the functional word here is "inawezekana"... do we know how many things in this word are "possible or probable".. in other words the opposite is also true which means the reasoning is totally and intrinsically flawed.
Inawezekana is not a fact is hypothetical.. which means you can not have an intellectual debate soley and totally based on fabrication of one's own mind. Kwa sababu, naweza kusema easily RA inawezekana ni mtoto wa Nyerere! halafu tuanze kujadili urithi wake kwenye familia ya Nyerere!
now this is a statement of fact.. this is a definitive statement that "Kubenea" ameitukana "saaaaaana" serikali ya JK na JK mwenyewe "akidai (kwamba kitendo hicho kinaendelea, this is present participle) kuwa ni "fisadi". Lets pause for a second and question our sanity.. lini, wapi na kwa namna gani Kubenea aliwahi kumuita JK ni "fisadi". The burden of proof is not on Kubenea to prove that he didn't say that or claim that, the burden of proof is on the author to prove that he did.
such a wide gate of possibilities, I dare not walk through it!
The author claims that there was a meeting between Lowassa and Kubenea, this is a claim of fact. And that, in this alleged meeting there was a promise given and because the promise was not fulfilled then Kubenea resorted to "kuitukana barabara serikali ya JK kuwa ni ya kifisadi". What a charge! Again, the burden of proof is not on Kubenea but on the author to show (even remotely) that this indeed did happen.
"Mpaka" simply means, that after this things changed. That the incident was transformational to Kubenea. How is this?
Hapa tunajiuliza walipia toka mifuko yao na fedha zao binafsi? au walilipa kutoka fedha za serikali ambazo ni za wananchi wa taifa hili? Kama ilikuwa ni kutoka mifuko yao binafsi "mafisadi hao hao" then ipo hoja, lakini kama fedha ni za serikali, ina maana Kubenea ana haki nazo kama Mtanzania mwingine yeyote anayehitaji huduma ya namna hiyo. Ni kama walivyomsaidia Athuman Khamisi au mgonjwa mwingine. Ufisadi wa mtu serikalini haufanyi hela ya serikali kuwa ni haram!
the argument here claims to know that "price ya Kubenea ni ndogo sana". How does someone know that except that he/she has a personal knowledge of such a thing? Which begs the question, how much is "ndogo sana"?
The last parts are purely for your entertainment..
A great leap from imagination to conclusion of a fact! Jajji yeyote atakutimua mahakani for such a leap!
na tena..
so basically this was the purpose all along to finally say "fisadi huyu" without showing logically or methodically how you reach such a conclusion. Is this based on "inawezekana, nadhania n.k" Well.. if this is what an intellectual "interchange" is then intellectual has lost its meaning...
well.. if we need something resembling "intellectual".. we have to bring something intellectual.. don't you agree?
Thats what I am talking about, this is how you take GT to task.I posed a condensed version of your above questions.
Will GT please take the floor and defend his challenged utterances?
GT alikuwa zamani aisee unamkumbuka kwenye thread za financial crisis na zingine......jamaa kichwa sana tumpe muda mkuu...hii kuelekea 2010...Turudi kule kwenye kumkoma nyani giladi ambako naamini GT ulikuwa mtu muhimu sana.
unfortunately, the tradition of speculation still rules; this is not the same as a tradition of intellectual exchange in the arena of ideas. The whole premise of the thread has no foundation in data nor debate. It is purely presumptive, speculative and absolutely destructive to the the very thing called debate.
The author has leaped illogically and superficially from imagination to claims of conclusive statements of facts. Such a leap in unwarranted and can not call for an honest "counter toe to toe". May I show this through a skillful and meticulous disection of the argument?
Kwanza, ni lini Kubenea alitoa ahadi hiyo ya mkutano wa kumwanika RA na wapi? (angalau tuwe na msingi wa kuanzia, maana kama hakukuwa na mkutano huo wala ahadi hiyo the whole thread collapses).
How does he know kuwa "amechomoa bila sababu za msingi"? Kutokutokea mahali siyo sawa na kutokuwa na sababu ya msingi. Kutokuwa na sababu ya msingi ni kuwa umemsikia sababu anazokupa na haziingii akilini; so, sababu gani imetolewa na Kubenea (assuming kulikuwa na mkutano huo) kiasi kwamba ni ambazo hazina "msingi" na sababu zipi zingekubalika kuwa ni za "msingi" na nani anayeamua sababu anazotoa mtu kuwa ni za msingi au la. Kama aliamua kulala apumzike je hiyo ni sababu ya msingi au la?
Huo mkutano ulitakiwa kufanyika Baleni Mafia mbele ya "ndugu, jamaa, na marafiki" kiasi kwamba tuambiwe kuwa kitendo cha kutofanyika kimewafanya hilo kundi kusikitika? Kama ilikuwa ni kikao cha familia sisi kinatuhusu nini? Kama kilikuwa cha manufaa kwa taifa kwanini wanafamilia waonekane kusikitishwa zaidi?
the functional word here is "inawezekana"... do we know how many things in this word are "possible or probable".. in other words the opposite is also true which means the reasoning is totally and intrinsically flawed.
Inawezekana is not a fact is hypothetical.. which means you can not have an intellectual debate soley and totally based on fabrication of one's own mind. Kwa sababu, naweza kusema easily RA inawezekana ni mtoto wa Nyerere! halafu tuanze kujadili urithi wake kwenye familia ya Nyerere!
now this is a statement of fact.. this is a definitive statement that "Kubenea" ameitukana "saaaaaana" serikali ya JK na JK mwenyewe "akidai (kwamba kitendo hicho kinaendelea, this is present participle) kuwa ni "fisadi". Lets pause for a second and question our sanity.. lini, wapi na kwa namna gani Kubenea aliwahi kumuita JK ni "fisadi". The burden of proof is not on Kubenea to prove that he didn't say that or claim that, the burden of proof is on the author to prove that he did.
such a wide gate of possibilities, I dare not walk through it!
The author claims that there was a meeting between Lowassa and Kubenea, this is a claim of fact. And that, in this alleged meeting there was a promise given and because the promise was not fulfilled then Kubenea resorted to "kuitukana barabara serikali ya JK kuwa ni ya kifisadi". What a charge! Again, the burden of proof is not on Kubenea but on the author to show (even remotely) that this indeed did happen.
"Mpaka" simply means, that after this things changed. That the incident was transformational to Kubenea. How is this?
Hapa tunajiuliza walipia toka mifuko yao na fedha zao binafsi? au walilipa kutoka fedha za serikali ambazo ni za wananchi wa taifa hili? Kama ilikuwa ni kutoka mifuko yao binafsi "mafisadi hao hao" then ipo hoja, lakini kama fedha ni za serikali, ina maana Kubenea ana haki nazo kama Mtanzania mwingine yeyote anayehitaji huduma ya namna hiyo. Ni kama walivyomsaidia Athuman Khamisi au mgonjwa mwingine. Ufisadi wa mtu serikalini haufanyi hela ya serikali kuwa ni haram!
the argument here claims to know that "price ya Kubenea ni ndogo sana". How does someone know that except that he/she has a personal knowledge of such a thing? Which begs the question, how much is "ndogo sana"?
The last parts are purely for your entertainment..
A great leap from imagination to conclusion of a fact! Jajji yeyote atakutimua mahakani for such a leap!
na tena..
so basically this was the purpose all along to finally say "fisadi huyu" without showing logically or methodically how you reach such a conclusion. Is this based on "inawezekana, nadhania n.k" Well.. if this is what an intellectual "interchange" is then intellectual has lost its meaning...
well.. if we need something resembling "intellectual".. we have to bring something intellectual.. don't you agree?
NB: Full disclosure.. I'm a columnist for MwanaHalisi.
Madhara ya bangi bila kula ni makubwa kuliko tunavyoweza kufikiria....
madhara ya bangi bila kula ni makubwa kuliko tunavyoweza kufikiria....
Rostam Ashindwa Kujibu Hoja, Abambika Tuhuma
Na Saed Kubenea
Saed Kubenea (MwanaHALISI): Nina maswali mawili tu, lakini huenda na mimi nitafanya mkutano wangu ili kukujibu wewe baada ya wewe kutuhumu gazeti letu (kicheko cha waandishi). Lakini kwa sasa ni maswali mawili madogo.
GT,
Your integrity is on life support, granted Kubenea is a shabby reporter, as shabby as most of our reporters - though purpotedly among the top echelon of what passes for the press in bongo- but why this apparently unfounded (some would argue ill-founded)crusade?
Crusades were a series of religion-driven military campaigns waged by much of Latin Christian Europe against external and internal opponents. They were fought mainly against Muslims,