Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
Ndugu wote,
Habari kuu ya gazeti la Mwananchi la Jumatano Februari 8/2012 inasema kuwa mojawapo ya vyanzo vya ugumba kwa wanaume ni kubeba laptop. Habari husika inazingatia matokeo ya utafiti uliofanywa na watallamu wa tiba/afya ya uzazi, Muhimbili National Hospital. Tunaomba wanaofahamu watufafanulie uhusiano wa kiufundi/kisayansi kati ya kubeba laptop na ugumba kwa wanaume.
Tafadhali tujuze
Habari kuu ya gazeti la Mwananchi la Jumatano Februari 8/2012 inasema kuwa mojawapo ya vyanzo vya ugumba kwa wanaume ni kubeba laptop. Habari husika inazingatia matokeo ya utafiti uliofanywa na watallamu wa tiba/afya ya uzazi, Muhimbili National Hospital. Tunaomba wanaofahamu watufafanulie uhusiano wa kiufundi/kisayansi kati ya kubeba laptop na ugumba kwa wanaume.
Tafadhali tujuze