Awamu ya 5 imejipambanua kwa kubana matumizi na kuzuia safari za nje ya nchi kwa watumishi wa serikali (umma) kwa mawazo yangu nilifikiri kuwa Tsh. itaimarika dhidi ya USD kutokana na serikali kutumia pesa mingi kwenye safari hizo za watumishi wa umma nje ya nchi (ununuzi wa tikiti za ndege, Per Diem (foreign)). Kwa mshangao bado Tsh. ni dhaifu (nyanya) mbele ya mbabe USD wachumi naomba msaada kwa hili.