Kubadilisha damu mwili mzima: Je kuna ukweli katika hili?

Mtaalam

JF-Expert Member
Oct 1, 2007
1,370
233
I have been hearing tory za vijiweni na news about watu flani flani n now nikisoma habari ya mtu mmoja hapa jf nimekumbuka tena hiyo habari nikaona kwa vile jf ni kama one of da main source ya sio tu information pia hata knowledge kwa baadhi yetu niulize hapa...

swali lenyewe ni hivii ni kweli kwa baadhi ya ndugu zetu ambao ni waathirika wenye uwezo kifedha..eti wanaweza kwenda nje na kubadilisha damu nzima ya mwili wao na kuwekewa damu mpyaa kabsaa dats why wanaweza kuishi kwa muda mrefu wakiwa na afya njema na its very impossible kugundulika kuwa ni waathirika...

kipengele bee ni kuwa je ni kweli kuwa yafikia time wanashindikana kabsaaa kubadilishiwa hiyo damu na ndio huwa mwisho wa wao kwenda njekubadilisha damu n ndipo huiishia kufa kwa ugonjwa wa moyo ambao kwa wakubwa wengi ndio huwa twaambiwa sie kina hohe haheeee??

kipengele chee ndugu daktari kama ni pocbo kutoa damu yooote kwanini akiwekewa damu nyingine hivo virusi bado viwepo??

swali la nyongeza mheshimiwa daktari ni yawezekanaje kutolewa damu yooote mwilini na bado ukawa hai??

ni hayo tuu ndugu mheshimiwaaa!!
 
Mtaalam, kubadilisha damu kitaalamu huitwa exchange blood transfusion.Hii, mara nyingi hufanywa kwa watu wenye matatizo yatokanayo na kasoro za cells mabalimbali katika damu.
hata hivyo,sijapata kusoma literature yeyote inayotaja kuwa exchange blood transfusion ni njia mojawapo ya kutibu UKIMWI.
Unapaswa kuelewa yafuatayo kuhusu UKIMWI:
1.Virusi vya UKIMWI huishi katika chembechemebe za Damu ziitwazo Lymphocytes zenye CD4 receptors.
2.Pia huishi katika lymphoid tissues ambapo huko virusi huwa dormant na pia dwa (ARV) haziwezi kuwafikia.(Ndio maana ARV hunywewa kwa maisha yote ili kuzuia virusi walio dormant kujitokeza na kuzailiana mara mtu aachapo dawa). hivyo,kubadili damu hakutaweza kuondoa virusi kutoka katika lymphoid tissues na sehemu zingine kitaalamu huita sanctuary sites.

hata hivyo,fahjamu kuwa kuna dawa nyingi(ARV)zenye ubora mkubwa, matokeo mazuri na side effets chache ktk nchi zilizoendelea kuliko hizi tunazotumia nchini.Pengine hao unaowasema wanatumia hizi.

Hivyo,kumalizia ,kwangu mimi hili la kubadili damu naliona kama uzushi tu.

Natumaini nimekupa mwanga
 
Asante mkubwa. Hata mimi nilikuwa napata utata sana hapa.

...naomba nichangie...
huenda kubadilishiwa damu kukaleta maana nyingine kwa baadhi ya watu,

...nilivyo experience mimi, ni damu yako mwenyewe inaboreshwa/kusafishwa tu na kurudishwa tena mwilini mwako kwa mtambo unaoitwa Dialysis machine!

Dialysis Machine inafanya kazi kama ya figo, maana mwilini figo ndio 'chujio' ya sumu/taka taka zote(Urea). Failure ya major (internal) body organs, i.e Figo (kidneys) ini (Liver) na Ubongo ndio sababu kuu ya Kifo!

Kwa wagonjwa wa Ukimwi huenda complications za gonjwa hilo ndio sababu ya kuibuka kwa Organ failures, mpaka inabidi damu kuchujwa na hiyo mashine.
 
i have been hearing tory za vijiweni na news about watu flani flani n now nikisoma habari ya mtu mmoja hapa jf nimekumbuka tena hiyo habari nikaona kwa vile jf ni kama one of da main source ya sio tu information pia hata knowledge kwa baadhi yetu niulize hapa...

swali lenyewe ni hivii ni kweli kwa baadhi ya ndugu zetu ambao ni waathirika wenye uwezo kifedha..eti wanaweza kwenda nje na kubadilisha damu nzima ya mwili wao na kuwekewa damu mpyaa kabsaa dats why wanaweza kuishi kwa muda mrefu wakiwa na afya njema na its very impossible kugundulika kuwa ni waathirika...

kipengele bee ni kuwa je ni kweli kuwa yafikia time wanashindikana kabsaaa kubadilishiwa hiyo damu na ndio huwa mwisho wa wao kwenda njekubadilisha damu n ndipo huiishia kufa kwa ugonjwa wa moyo ambao kwa wakubwa wengi ndio huwa twaambiwa sie kina hohe haheeee??

kipengele chee ndugu daktari kama ni pocbo kutoa damu yooote kwanini akiwekewa damu nyingine hivo virusi bado viwepo??

swali la nyongeza mheshimiwa daktari ni yawezekanaje kutolewa damu yooote mwilini na bado ukawa hai??

ni hayo tuu ndugu mheshimiwaaa!!


Mkuu,

Hao baadhi ya watu unaowasema huwa wanakwenda ng'ambo ili kuweza kufanyiwa uchunguzi ni jinsi gani wapate dawa ambazo katika nchi zilizoendelea zipo za kusogeza miaka ila ni bei mbaya mno.

Kidonge kimoja au "one dose" nasikia kwa sasa kinagharimu zaidi ya paundi 6000! na bado kuna dawa zingine ambazo inabidi mgonjwa awe anapewa kulingana na hali yake inavokwenda na ni lini amegundulika kuwa ni mgonjwa.

Sasa kama kuna damage katika ini (kutokana na ulevi) au cells (kwa anaemia) basi mgonjwa huweza kuambiwa kama itabidi afanyiwe upasuaji wa kubadilisha mambo hayo (implant) ili aweze angalau kuzogeza siku.

Basi haya ndio mambo yenyewe.
 
Mtaalam, kubadilisha damu kitaalamu huitwa exchange blood transfusion.Hii, mara nyingi hufanywa kwa watu wenye matatizo yatokanayo na kasoro za cells mabalimbali katika damu.
hata hivyo,sijapata kusoma literature yeyote inayotaja kuwa exchange blood transfusion ni njia mojawapo ya kutibu UKIMWI.
Unapaswa kuelewa yafuatayo kuhusu UKIMWI:
1.Virusi vya UKIMWI huishi katika chembechemebe za Damu ziitwazo Lymphocytes zenye CD4 receptors.
2.Pia huishi katika lymphoid tissues ambapo huko virusi huwa dormant na pia dwa (ARV) haziwezi kuwafikia.(Ndio maana ARV hunywewa kwa maisha yote ili kuzuia virusi walio dormant kujitokeza na kuzailiana mara mtu aachapo dawa). hivyo,kubadili damu hakutaweza kuondoa virusi kutoka katika lymphoid tissues na sehemu zingine kitaalamu huita sanctuary sites.

hata hivyo,fahjamu kuwa kuna dawa nyingi(ARV)zenye ubora mkubwa, matokeo mazuri na side effets chache ktk nchi zilizoendelea kuliko hizi tunazotumia nchini.Pengine hao unaowasema wanatumia hizi.

Hivyo,kumalizia ,kwangu mimi hili la kubadili damu naliona kama uzushi tu.

Natumaini nimekupa mwanga
Well said
 
...naomba nichangie...
huenda kubadilishiwa damu kukaleta maana nyingine kwa baadhi ya watu,

...nilivyo experience mimi, ni damu yako mwenyewe inaboreshwa/kusafishwa tu na kurudishwa tena mwilini mwako kwa mtambo unaoitwa Dialysis machine!

Dialysis Machine inafanya kazi kama ya figo, maana mwilini figo ndio 'chujio' ya sumu/taka taka zote(Urea). Failure ya major (internal) body organs, i.e Figo (kidneys) ini (Liver) na Ubongo ndio sababu kuu ya Kifo!

Kwa wagonjwa wa Ukimwi huenda complications za gonjwa hilo ndio sababu ya kuibuka kwa Organ failures, mpaka inabidi damu kuchujwa na hiyo mashine.
Naomba kuongeza swali, je wale wenye vibamia nao inakua ni damu haitembei?
 
Back
Top Bottom