Ishina
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 169
- 57
CDM TV:
Kuanzishwa wa CDM TV ni jambo ambalo linapigiwa debe na wana-CDM wengi, jambo hili sio jipya na limeshazungumziwa sana hapa kwenye JF na wana-CDM na wote wenye mapenzi mema na CDM kwa muda mrefu saana. Hapa, mimi ni katika kuwakumbusha tu viongozi wangu wa CDM kuwa tupenda watufahamishe kuwa mpango wa kuazishwa kwa TV yetu ukoje?! Mpango wa kuazisha TV utaanza lini na utakamilika lini?! (kama limeshajibiwa hapa kipindi cha nyuma, basi naomba na mimi kama mwana-CDM niweze kujua).
​
Mimi kama mmoja wapo watu wanao-support M4C, na ili hii movement iweze kufanikiwa kikamilifu, na tuweze kuchukua nchi 2015, lazima sehemu kubwa ya Wa-TZ waweze kufikiwa na kuelimishwa, na njia mmojawapo na muafaka ni kupitia TV, Radio, na mitandao ya internet. Je wana-CDM tunategemea kufika kila pembe ya nchi kwa kutegemea tu mikutano ya majukwaani, pamoja na TBC, Clouds fm, ITV etc.??!!
Suala la Website ya CDM
Hapa napo kuna tatizo, inabidi watu wa Kitengo husika wawe wepesi ku-update website yetu. Kwa kipindi hiki cha kampeni huko Arumeru, kuna mambo mengi saana ya kuyatolea taarifa, naamini website ya CDM ingekuwa ni mmojawapo wa njia muhimu saana, za kutolea taarifa za kinachoendelea Arumeru na sehemu zingine ambazo CDM inashiriki kwenye uchaguzi, na mambo mengine kwa ujumla yanayohusu CDM.
Pia, hata matamko, ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayohusu CDM, ni vyema pia, yakawepo kwanza kwenye website ya chama, na baadae kwenye mitandao ya internet (e.g JF). Hivi karibuni imekuwa ni kama utaratibu CDM kutolea ufafanuzi wa mambo yanayohusu chama hapa JF (hata kama jambo hilo halija-originate hapa JF). Sipingi kutumia mitandao kama sehemu mojawapo kuwafikia wa-TZ wengi, lakini nashauri kuwa tuwe tunaweka na kwenye website yetu, then nakala tunaweza kupeleka kwenye vyombo vingine vya habari ikiwa ni pamoja mitandao ya internet. Kitengo cha habari cha CDM naomba mtoke usingizini na muwe mna-update website kwa taarifa mbalimbali zinazohusu chama chetu.
Ni hayo,
Pipooooo, Pawaaaaa
Ishina.
Kuanzishwa wa CDM TV ni jambo ambalo linapigiwa debe na wana-CDM wengi, jambo hili sio jipya na limeshazungumziwa sana hapa kwenye JF na wana-CDM na wote wenye mapenzi mema na CDM kwa muda mrefu saana. Hapa, mimi ni katika kuwakumbusha tu viongozi wangu wa CDM kuwa tupenda watufahamishe kuwa mpango wa kuazishwa kwa TV yetu ukoje?! Mpango wa kuazisha TV utaanza lini na utakamilika lini?! (kama limeshajibiwa hapa kipindi cha nyuma, basi naomba na mimi kama mwana-CDM niweze kujua).
​
Mimi kama mmoja wapo watu wanao-support M4C, na ili hii movement iweze kufanikiwa kikamilifu, na tuweze kuchukua nchi 2015, lazima sehemu kubwa ya Wa-TZ waweze kufikiwa na kuelimishwa, na njia mmojawapo na muafaka ni kupitia TV, Radio, na mitandao ya internet. Je wana-CDM tunategemea kufika kila pembe ya nchi kwa kutegemea tu mikutano ya majukwaani, pamoja na TBC, Clouds fm, ITV etc.??!!
Suala la Website ya CDM
Hapa napo kuna tatizo, inabidi watu wa Kitengo husika wawe wepesi ku-update website yetu. Kwa kipindi hiki cha kampeni huko Arumeru, kuna mambo mengi saana ya kuyatolea taarifa, naamini website ya CDM ingekuwa ni mmojawapo wa njia muhimu saana, za kutolea taarifa za kinachoendelea Arumeru na sehemu zingine ambazo CDM inashiriki kwenye uchaguzi, na mambo mengine kwa ujumla yanayohusu CDM.
Pia, hata matamko, ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayohusu CDM, ni vyema pia, yakawepo kwanza kwenye website ya chama, na baadae kwenye mitandao ya internet (e.g JF). Hivi karibuni imekuwa ni kama utaratibu CDM kutolea ufafanuzi wa mambo yanayohusu chama hapa JF (hata kama jambo hilo halija-originate hapa JF). Sipingi kutumia mitandao kama sehemu mojawapo kuwafikia wa-TZ wengi, lakini nashauri kuwa tuwe tunaweka na kwenye website yetu, then nakala tunaweza kupeleka kwenye vyombo vingine vya habari ikiwa ni pamoja mitandao ya internet. Kitengo cha habari cha CDM naomba mtoke usingizini na muwe mna-update website kwa taarifa mbalimbali zinazohusu chama chetu.
Ni hayo,
Pipooooo, Pawaaaaa
Ishina.