MABANDA
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 256
- 102
Ninaomba mawazo yenu kwa masuali yafuatayo . 1. Je mkoa gani kanda ya ziwa mzuli wa kuanzisha kiwanda cha ngozi za mifugo? 2. Je kama nikianzisha soko la malighafi zitokanazo na mifugo likoje kanda ya ziwa? 3. Je kuna taasisi za fedha zinasurpoti mambo ya viwanda vya ngozi? 4.Je watalaamu wa ngozi watanzania wapo?. 5.Demand ya soko likoje kwenye masuala ya ngozi zitokanazo na mifugo? , Wanajamii naombeni mawazo yenu kama kuna wazoefu wa line hii.