Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena nkiusikia redioni au kuuona kwenye Tv nabadilisha channeli kabisa.Nau-delete kwenye desktop na laptop ya nyumbani,
Desktop ya ofisini,
Mp4 ya gari napo nautoa,
Kisha namalizia na kwenye simu kabisa!!!!
Nyimbo za Sugu na VINEGA havina ITIKADI za vyama Bali ni reality ya maisha Sasa huyu kakurupuka kwani mmesahau ya Marlow na kibao chake CHA pipipi yaliyotokea? Au Bushoke ni nini kimempata??? Tena ask ur self why Roma hatari Nyimbo zake zitumiwe na CDM japo ni mwanachama wa CDM refer wimbo wake aw mathematicsSijaona kosa la huyo dogo kiasi cha kumshangaa na kumsakama hivyo. Mbona mnakuwa wakali na kutema povu kama mmebwia foma. Hivi kama yeye ni mwanachama wa CCM aache kusifia chama chake amsifie nani sasa. Mbona Sugu ni mwana bongo fleva na ni mbunge wa CDM lakini wanachama wa CCM hawatoi povu na wanasikiliza nyimbo zake kama kawaida. Huo ni ubaguzi na chuki za kijinga.
Ulimanisha JK?JF mwenyewe amesema leo,kwamba chuki za watu wengine zinasababishwa na wivu tu. Ndio wewe hapo. Hupendi kuona jinsi ambavyo CCM iko mahiri kaika ku=connect na vijana.
Hao waimbaji hawana mwenyewe. Hata CHADEMA wakiomba wanaweza kuwapata. In fact,Freeman Mbowe owns a discoteche,kwa hiyo umaarufu wake unategemea pop music.
Zamani nilipokuwa jeshini,nilikuwa napenda sna kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa nafikiria ,sijafika Mbinguni,lakini kama nikifika,nitakuta kwamba it is very much like this Mbowe Disco.
kuanzia leo natangaza kuacha kufagilia wimbo wa HAKUNAGA kwa sababu mwanamziki aliyeimba wimbo huu SUma lee kaamua kuubadilisha maneno yake na kuwa HAKUNAGA kama CCM (nimeona kweny TV akiwa Mwanza).
umeniboa sana Suma Lee. laiti ungejua kuwa una mashabiki wa aina tofauti tofauti usingefanya kitendo cha kipuuzi kama hiki. umeboa sana