Kuanzia leo simpendi tena Magufuli

Status
Not open for further replies.

mageuzi1992

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
2,503
252
Mmoja wa watu ambao wamekuwa wakihusudiwa sana na wananchi wa kada zote mathalani raia wa kawaida na vyama vya siasa kwa uchapaji kazi wake ni mh magufuri. Ila baada ya kcuhunguza sana baadhi yetu tumegundua magufuri ni mnafiki tu!. Mathalani sijawahi kusikia hata siku moja mh magufuri akipinga muswada usio na tija kwa taaifa. Yeye ameingia katika kundi la wabunge wa sisiem wanao penda kusema ''' ndiooooooooooooooo! Wakimaanisha kuunga hoja hata kama ni za kukandamiza wananchi. Mfano mzuri ni muswada wa waziri wa fedha wa juzi mh magufuri alikuwa miongoni mwao waliounga mkono hoja kwa kauli ya ndioooooooooooooooooooooooooooooooo!. Nilikuwa nampenda sana magufuri lakini sasa nimegundua ni mnafiki tu!
 
Ndugu yangu umepotoka, Magufuli ni waziri = serikali, na bajeti + miswada ni ya serikali. Unataka ajipinge mwenyewe? As long as he is a minister, hawezi kupinga hoja za serikali, kisiasa na kiutawala ni kama uhaini.
 
Mmoja wa watu ambao wamekuwa wakihusudiwa sana na wananchi wa kada zote mathalani raia wa kawaida na vyama vya siasa kwa uchapaji kazi wake ni mh magufuri. Ila baada ya kcuhunguza sana baadhi yetu tumegundua magufuri ni mnafiki tu!. Mathalani sijawahi kusikia hata siku moja mh magufuri akipinga muswada usio na tija kwa taaifa. Yeye ameingia katika kundi la wabunge wa sisiem wanao penda kusema ''' ndiooooooooooooooo! Wakimaanisha kuunga hoja hata kama ni za kukandamiza wananchi. Mfano mzuri ni muswada wa waziri wa fedha wa juzi mh magufuri alikuwa miongoni mwao waliounga mkono hoja kwa kauli ya ndioooooooooooooooooooooooooooooooo!. Nilikuwa nampenda sana magufuri lakini sasa nimegundua ni mnafiki tu!

Kumpenda au kutompenda kiongozi kwa kutekeleza wajibu wako litabaki kuwa suala la mtu mwenyewe.
Hata hivyo kutompenda mtu kwa sababu anatekeleza vizuri wajibu wake , basi wewe utakuwa na matatizo.
 
Kwani magufuli na mchemba wana tofauti gani?pole sana mkuu kwa kupoteza muda wako kuyaamini magamba....
 
Si unajua aliziuza nyumba za serikali huyu na mawaziri wakaanza kulala Kempiski.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mmoja wa watu ambao wamekuwa wakihusudiwa sana na wananchi wa kada zote mathalani raia wa kawaida na vyama vya siasa kwa uchapaji kazi wake ni mh magufuri. Ila baada ya kcuhunguza sana baadhi yetu tumegundua magufuri ni mnafiki tu!. Mathalani sijawahi kusikia hata siku moja mh magufuri akipinga muswada usio na tija kwa taaifa. Yeye ameingia katika kundi la wabunge wa sisiem wanao penda kusema ''' ndiooooooooooooooo! Wakimaanisha kuunga hoja hata kama ni za kukandamiza wananchi. Mfano mzuri ni muswada wa waziri wa fedha wa juzi mh magufuri alikuwa miongoni mwao waliounga mkono hoja kwa kauli ya ndioooooooooooooooooooooooooooooooo!. Nilikuwa nampenda sana magufuri lakini sasa nimegundua ni mnafiki tu!


Pole sana wewe ulichelewa kumpima mzee wa kukariri!! Kama John pombe "kali" Magufuli kama alivyowahi kujiita yeye mwenyewe; kama angekuwa ni mtu Principled kweli kweli angekuwa amejiuzulu kazi siku nyingi ukizingatia matendo aliyowahi kufanyiwa na JK na PM Pinda wakimwambia aache ubabe na kumkatisha tamaa kwa kiasi kikubwa wakati akijaribu kutekeleza miradi ya barabara mbali mbali nchini, kama vile haikutosha Pinda alikwenda kuweka msisitizo mpaka jimboni kwa magufuli kama vile alitaka wapiga kura wake wamuone si lolote si chochote mpiga debe asiye na maana lakini bado magufuli ameendelea kung'ang'ania wadhifa ndani ya serikali inayomdhalilisha. ni wale wale CCM, wanafikiri kwa matumbo.
 
Kakunyima shea nini? kule alikojiuzia kiwanja cha serikali na kujenga ligorofa la kilomita moja, akawapangisha na wale wanojenga barbara ya B Moyo.
 
Ndugu yangu umepotoka, Magufuli ni waziri = serikali, na bajeti + miswada ni ya serikali. Unataka ajipinge mwenyewe? As long as he is a minister, hawezi kupinga hoja za serikali, kisiasa na kiutawala ni kama uhaini.

kwani kuna upande wa serikali wakati cabinate inajadili miswada? Kama ndivyo basi sisiem inajizika yenyewe. Lazima a-challange wakati miswada ikiwa ngazi ya cabinate...lasivyo hatupendi watz...haipendi tz..HATUMPENDI.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom