eeeeeeeeeeh kazi kweli kweli halafu wote mnaochangia hapa mmeachwa
hiyo ndo asilimia kubwa ya wanawake mjini lakini.
atakwambia umentumia nimechakaa ndo unajitia kunambia umenchoka,boo mwanahizaya wewe siondoki ng'oo,ukitaka ondoka wewe uniachie nyumba.Wakati huo benki akiba yako hata elfu kumi haifiki.Unampa live kwani mi ndo mwanaume pekee bana niliyebaki kwako tafuta mwingine kwangu nishakuchoka
<br /><b>halafu mnasema mademu hatujatulia<br />
ndo maana wajanja wanakaa kimachalemachale mguu mmoja kulia na mmoja kushoto ukitoswa huku unahamia huku.ili kupunguza maumivu akiba ni muhimu hadi kieleweke.</b>
atakwambia umentumia nimechakaa ndo unajitia kunambia umenchoka,boo mwanahizaya wewe siondoki ng'oo,ukitaka ondoka wewe uniachie nyumba.Wakati huo benki akiba yako hata elfu kumi haifiki.
Na kama ni kutunga story najifunza kabisa na kutoa visingizio kibao vilivyonifanya nifikie uamuzi kama huo
hata kama ni kuleta story za babu yangu aliyekufa zamani na mausia yake
kweli kabisa tena spear inatakiwa ipewe kipaumbele zaidi wallah maana atakuja kukusitiri siku ya mateso yako<br />
<br />
ni kweli kabisa bebii...plan A ikifeli plan B ipo....spea tairi....alijiimbia matonya
atakwambia umentumia nimechakaa ndo unajitia kunambia umenchoka,boo mwanahizaya wewe siondoki ng'oo,ukitaka ondoka wewe uniachie nyumba.Wakati huo benki akiba yako hata elfu kumi haifiki.
kweli kabisa tena spear inatakiwa ipewe kipaumbele zaidi wallah?
baada ya kusema maneno hayo alikuponyesha? au ulitoka na ngeu?Mikatabafeki,...... nilidhani jina tu kumbe hata matendo??
inategemea mkuu kama kwa dhati kabisa yeye ndo amesababisha tukafikia hapo .... from my experience nilimuambia it is over mchana kweupeeeee bila kumumunya maneno.. kwamba atareact vipi maadam ana mchango mkubwa katika hilo na nilishamua alart... it is non of my business.
atakwambia umentumia nimechakaa ndo unajitia kunambia umenchoka,boo mwanahizaya wewe siondoki ng'oo,ukitaka ondoka wewe uniachie nyumba.Wakati huo benki akiba yako hata elfu kumi haifiki.
vidumu na kudumuNdo mnavyojidanganya na vidumu na viplastic eehhh
wengi huwa wanafanya hivyo na kuanza upya.
<br />Ndo mnavyojidanganya na vidumu na viplastic eehhh
vidumu na kudumu
<br />
<br />
eenh vidumu muhimu sanaaa sio tunajidanganya ndo ukweli
kwani kuwa na kidumu sio akili? hata sisi akili za kuambiwa tunamiski na zetu chakachua nikuchakachueyaani nyie mna balaa
ndo maana imeandikwa tukae na nyie kwa akili
hapa akili zako changanya na za kuambiwa