wakati mwingine sio kwamba anakupenda kihivyo ni njaa tu.
ndo maana nikasema hapo shughuli....
wengine huanza na visa hivi
hakuna sex,hakuna story....unarudi umechelewa
una mtuhumu ana bwana nje....its funny
but mimi napenda ya kuacha kwa wema,mnazungumza mpaka anakuelewa
mkuu hiyo pointi ya njaa ni muhimu mno....
ukijua hivyo,basi endelea kumhudumia huku umeachana nae.....
ndo inaitwa kuachana kwa wema
mhudumie mpaka atakaposimama mwenyewe au akapopata mtu mwingine
Mkuu hapo sasa inategemea
Maana kama uko nae ndani kusema no sex wakati mtulinga unahitaji ni shughuli nyingine
May be hizo nyingine za kumfanyia visa
Ila nafikiri maongezi ni muhimu
Unamtoa out mnakaa unapasua kile ambacho kiko moyoni mwako
na uwe tayari kwa reaction yake
tatizo la hawa wenzetu ukiendelea kutoa huduma ye anaona unam mind matokeo yake wivu unakuwa pale pale,ukipata dem mwingine anaanza vitisho na kutuma mameseji ya hovyo,si unajua tena wanawake wa mjini?mkuu hiyo pointi ya njaa ni muhimu mno....
ukijua hivyo,basi endelea kumhudumia huku umeachana nae.....
ndo inaitwa kuachana kwa wema
mhudumie mpaka atakaposimama mwenyewe au akapopata mtu mwingine
TB nakubaliana na wewe
kama kuna kingine zaidi ya penzi sawa
Ila kuna wale ambao kweli amekupenda na kubreak such a news to her ni issue
tatizo la hawa wenzetu ukiendelea kutoa huduma ye anaona unam mind matokeo yake wivu unakuwa pale pale,ukipata dem mwingine anaanza vitisho na kutuma mameseji ya hovyo,si unajua tena wanawake wa mjini?
usijaribu kumtoa out
halafu umwambie tuna achana
utajuta..
mwambie mkiwa ndani tu
TB nakubaliana na wewe
kama kuna kingine zaidi ya penzi sawa
Ila kuna wale ambao kweli amekupenda na kubreak such a news to her ni issue
usimbwambie kwa kumshtukiza
anza taratibu tu....ataelewa
usijaribu kumtoa out
halafu umwambie tuna achana
utajuta..
mwambie mkiwa ndani tu[/QUOTE]
Mkuu hapo kwenye red,akiamua je kuvunja kila kitu,hako ka plasma kako ulikokakopea hela kwa mwajiri utapata wapi kengine Mkuu? bora nje ya nyumba
ukitaka kujua unapendwa sana au ni huduma ndo zinapendwa
mwambie umefukuzwa kazi.uone....lol
Mkuu hebu nipe ufafanuzi wa outing hiyo na kumwambi aunamuacha
Maanamimi kwangu naona ndio njia rahisi na nyepesi sehem tulivu
usijaribu kumtoa out
halafu umwambie tuna achana
utajuta..
mwambie mkiwa ndani tu[/QUOTE]
Mkuu hapo kwenye red,akiamua je kuvunja kila kitu,hako ka plasma kako ulikokakopea hela kwa mwajiri utapata wapi kengine Mkuu? bora nje ya nyumba
Bishanga u made my day hapa nilikuwa sijacheka toka asubuhi
halafu mnasema mademu hatujatuliahakika kati ya mambo magumu yanayoweza kumkabili mwanaume ni kumwambia mkewe/gf/hawara kuwa 'its over'. Pamoja na kwamba kichwani mwako mwanaume unaweza kukata shauri kuwa huyu mwanamke hanifai kimbembe huwa kinakuja kwenye kumtamkia na ugumu unaongezeka kama unaishi naye. Wengine siku hizi wana text,wengine wanaandika e mail,wengine wanamtuma mtu awasemehe,all in all ni jambo gumu sana maana uongo binadamu tumeumbwa na uso wa haya.
Kwa wanaume: Kama ushawahi kujikuta katika situation hii ulifanye kumjulisha mwenzio kuwa mahusiano yenu yamefikia tamati?
Kwa kinamama: Kama haya maswahibu yashawahi kukuta jamaa alikujulisha kwa staili ipi,and how was your reaction?
Nawasilisha
usijaribu kumtoa out
halafu umwambie tuna achana
utajuta..
mwambie mkiwa ndani tu[/QUOTE]
Mkuu hapo kwenye red,akiamua je kuvunja kila kitu,hako ka plasma kako ulikokakopea hela kwa mwajiri utapata wapi kengine Mkuu? bora nje ya nyumba
kama style yake ndo hiyo basi,nje ya nyumba ndo safi
anaweza kuangua kilio
mbele za watu
au kukutukana na kuanzisha fujo
au mwingine akaona umemsanifu so
ulii enjoy kumuacha kwa staili hiyo
bora nyumbani tu