Kuanguka kwa Sumaye na kupeta kwa mafisadi nini tafsiri yako?

Ingawa uchaguzi wa CCM ni wao, hakuna kitu kimenishangaza kama watu wenye udhu kama Fredrick Sumaye waziri mkuu wa zamani kuangushwa na Mary Nagu mtuhumiwa wa kughushi vyeti vya taaluma. Nimeshangaa kwa mafisadi kama Edward Lowassa na Andrew Chenge kupeta huku watu wenye udhu kama Sumaye kutupwa nje. Je CCM na wanachama wake wameanza kujitofautisha na biashara ya kula takrima bila kujali kama wanayemchagua ni fisi, fisadi au chatu? Nini mawazo yako?

Sijui una maana gani unapotumia neno "udhu" ila kama una maana ya "usafi" basi nadhani humfahamu vizuri huyu jamaa. Frederick Sumaye ninayemjua mimi ni mmoja wa waasisi wa ufisadi ndani ya CCM. Kwa kumbukumbu zangu huyu jamaa wakati akiwa waziri mkuu aliwaambia wafanyabiashara kuwa yeyote anayetaka mambo yake yamnyookee lazima ajiunge na CCM. Matokeo yake ni wimbi la wafanyabiashara kuingia ndani ya CCM na kuzigeuza siasa za ndani ya chama kuwa biashara ya kuuza na kununua kura. Kama sikosei hajawahi kujibu kashfa ya kutumia vibaya madaraka pale alipojibinasfishia mashamba ya ushirika ya kijiji akiwa waziri mkuu .
 
quote_icon.png
By Ritz
Kwani Sumaye ana usafi gani yeye na Mkapa si ndio wameuza migodi yetu kwa wazungu.
Mkuu hongera sana kwa comment yako ya ukweli! Mi nilidhani we una-support ufisadi!
Huyo Ritz ungemjua wala usingemsifu, yeye sana ana bifu na viongozi wenye imani fulani. Mafisadi wa imani fulani atawatetea mpaka kesho huko huko magambani, yuko kimagamba lakini kiimani zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wakuu nguvu kubwa sana imetumiwa na SSM kuhakikisha Sumaye hashindi!!! Pesa kibao ilimwaga kupita kiasi. Na mkono wa mamvi pia upo kwa sana kwa sababu fulani fulani hivi. Katika hali ya kawaida yule mama asingepata kura, hatakiwi kule japo anatumia nguvu nyingi sana kutaka kutetea kiti cha ubunge. Rushwa zilikuwa zinapitishwa usiku wa manane!! Fisadis at work!!

More of the assumption than the reality......Mamvi had nothing to do with kuanguka kwa Sumaye japo naye ni beneficiary temporarily lakini baada ya muda atatambua ni bora angeacha huyo akapita na yeye angekaribia kiti cha enzi maana somehow watu wake na wa huyo mdondoka wangeweza ku-join effort.....Haya yalifanywa kupunguza nguvu ya hao wote wawili...My heart burns kwa watu kuwa short sighted how can on earth mtu kum-betray ndugu yake kisa kujipendekeza kwa kisa tu cha kuangalia sasa na kusahau kuna baadaye?
 
Duniani kuna mambo!

Mwaka 2005 tuliambiwa Mkapa na Sumaye ni wachafu kama mashetani watoto na wakati huo tukaaminishwa kuwa Kikwete na Lowassa ni wasafi kama watoto wa Mungu.

Leo mambo yanageuka eti Sumaye ni msafi!
 
kilichomponza alikuwa anashauri vibaya Rais aliyepita, Ndiye chanzo cha kufumbia ufisadi wa mkapa-kiwira, meremeta, kuuza mabenki, ttcl na reli, huyu anarudi kufanya nini, aende zake anazeeka vibaya.
 
Haya ni baadhi ya mambo ya kifisadi yaliyosimamiwa barabara na Sumaye kwa miaka kumi akiwa waziri mkuu chini ya utawala wa Mkapa:

1/Uuzwaji wa mashirika ya umma ovyoovyo.

2/Mikataba ya kitapeli kwenye madini.

3/Alihusika kuchukua 10% yake wakati wa uuzwaji wa NBC kwa bei ya kutupa.

4/Alitumia nafasi yake kama PM kuchukua mkopo usiohalali NSSF.

5/Alisisimamia kwa nguvu zote bungeni kufanikisha ununuzi wa rada na ndege ya rais katika mazingira tata.

6/Alisimamia kwa nguvu zote pamoja na Magufuli, uuzwaji wa nyumba za serikali kwa vigogo na yeye akichukua za kwake kadhaa.

7/Ndio mwasisi wa mpango wa vigogo kujimilikisha Lanchi za taifa, yeye ana za kwake kadhaa Arusha na Manyara achilia mbali shamba kubwa la mifugo kibaha.

8/Alijimilikisha soko kubwa la mazao hasa mahindi la Kibwaigwa.

9/Ilisemekana alikuwa amefisha zaidi ya bilioni 50 nje ya nchi, hasa benk za uswisi

10/Alikuwa anasimamia kwa karibu sana kutoa misamaha tata ya kodi kwa wafanyabiashara hasa wenye asili ya kiasia(Ni Sumaye aliyetoa kauli kuwa ukitaka mambo yako kibiashara yaende vizuri basi ahamia CCM)

11/Alisimamia serikali bungeni kupitisha sheria ya kuhalalisha Rushwa kwenye uchaguzi kwa jina la Takrima.

12/Ilisemekana alikuwa anaumiliki wa maghorofa kadhaa katikati ya majiji ya Arusha, Mwanza na Dar ambayo yalikuwa yanajengwa kwa kasi kama uyoga.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hii kitu inasikitisha sana.Ina-prove what we have been saying all along,kwamba kimaadili society yetu imekwisha kabisa.Watanzania walio wengi ni watu wa aina ya akina Mary,watu wa kughushi ghushi vyeti na uovu mwingine.
Ingawa uchaguzi wa CCM ni wao, hakuna kitu kimenishangaza kama watu wenye udhu kama Fredrick Sumaye waziri mkuu wa zamani kuangushwa na Mary Nagu mtuhumiwa wa kughushi vyeti vya taaluma. Nimeshangaa kwa mafisadi kama Edward Lowassa na Andrew Chenge kupeta huku watu wenye udhu kama Sumaye kutupwa nje. Je CCM na wanachama wake wameanza kujitofautisha na biashara ya kula takrima bila kujali kama wanayemchagua ni fisi, fisadi au chatu? Nini mawazo yako?
 
Kilichotokea Siku chache kabla ya uchaguzi wajumbe walipewa rushwa na Mary Nagu hii ni rushwa ya waziwazi iliyotoka juu huku TAKUKURU wilaya ya Hanang na Mkoa wa Manyara wakiwa kimya,wajumbe walikuwa wanapigiana Simu hadharani kuwa nipokee ngapi?hivyo Sumaye aling'olewa kwa nguvu kubwa ya pesa si chini ya mil.300,huku yeye(Sumaye)alikuwa anawaambia wajumbe wa magamba kuwa mimi ni msafi awamu zote za ubunge nishinda bila kutoa rushwa sembuse huyu(Nagu)aliyenunua ubunge.
 
Haya ni baadhi ya mambo ya kifisadi yaliyosimamiwa barabara na Sumaye kwa miaka kumi akiwa waziri mkuu chini ya utawala wa Mkapa:

1/Uuzwaji wa mashirika ya umma ovyoovyo.

2/Mikataba ya kitapeli kwenye madini.

3/Alihusika kuchukua 10% yake wakati wa uuzwaji wa NBC kwa bei ya kutupa.

4/Alitumia nafasi yake kama PM kuchukua mkopo usiohalali NSSF.

5/Alisisimamia kwa nguvu zote bungeni kufanikisha ununuzi wa rada na ndege ya rais katika mazingira tata.

6/Alisimamia kwa nguvu zote pamoja na Magufuli, uuzwaji wa nyumba za serikali kwa vigogo na yeye akichukua za kwake kadhaa.

7/Ndio mwasisi wa mpango wa vigogo kujimilikisha Lanchi za taifa, yeye ana za kwake kadhaa Arusha na Manyara achilia mbali shamba kubwa la mifugo kibaha.

8/Alijimilikisha soko kubwa la mazao hasa mahindi la Kibwaigwa.

9/Ilisemekana alikuwa amefisha zaidi ya bilioni 50 nje ya nchi, hasa benk za uswisi

10/Alikuwa anasimamia kwa karibu sana kutoa misamaha tata ya kodi kwa wafanyabiashara hasa wenye asili ya kiasia(Ni Sumaye aliyetoa kauli kuwa ukitaka mambo yako kibiashara yaende vizuri basi ahamia CCM)

11/Alisimamia serikali bungeni kupitisha sheria ya kuhalalisha Rushwa kwenye uchaguzi kwa jina la Takrima.

12/Ilisemekana alikuwa anaumiliki wa maghorofa kadhaa katikati ya majiji ya Arusha, Mwanza na Dar ambayo yalikuwa yanajengwa kwa kasi kama uyoga.

13.umesahau chanzo cha bifu Na MARMO PHILIP,alihujumiwa nyumba S.A.
 
Ingawa uchaguzi wa CCM ni wao, hakuna kitu kimenishangaza kama watu wenye udhu kama Fredrick Sumaye waziri mkuu wa zamani kuangushwa na Mary Nagu mtuhumiwa wa kughushi vyeti vya taaluma. Nimeshangaa kwa mafisadi kama Edward Lowassa na Andrew Chenge kupeta huku watu wenye udhu kama Sumaye kutupwa nje. Je CCM na wanachama wake wameanza kujitofautisha na biashara ya kula takrima bila kujali kama wanayemchagua ni fisi, fisadi au chatu? Nini mawazo yako?
Hao ndugu zetu wamelewa madaraka na pesa, wanafikiri vitu hivyo vitadumu.

Ole wao.

Neno la Bwana lasema
Mhubiri7:7
"Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima,
Na rushwa huuharibu ufahamu."

Inanisononesha kufikiria kwamba watu hao, si kama wanakipitia Kitabu kile Kitakatifu.

Ole wao.
 
Tafsiri yangu. Ccm wameamua kuua chama chao kwa kuengua watu ambao waliokuwa wamebak km nguzo za ccm na sasa chama kimebaki hakina mwelekeo kinaendeshwa km mari ya mtu binafsi
 
Unauliza mafuta Iraki? Kumbuka 'birds of the same colour flies together'!
 
Lowassa anajaribu kubip urais japo anaelewa kwamba hatakuwa rais wa tanzania mpaka anakufa.
 
More of the assumption than the reality......Mamvi had nothing to do with kuanguka kwa Sumaye japo naye ni beneficiary temporarily lakini baada ya muda atatambua ni bora angeacha huyo akapita na yeye angekaribia kiti cha enzi maana somehow watu wake na wa huyo mdondoka wangeweza ku-join effort.....Haya yalifanywa kupunguza nguvu ya hao wote wawili...My heart burns kwa watu kuwa short sighted how can on earth mtu kum-betray ndugu yake kisa kujipendekeza kwa kisa tu cha kuangalia sasa na kusahau kuna baadaye?
Mkuu hapo red, umenena kabisa. Nimekupata mno!!! Siasa ni kamari na ukikosea kuicheza umeliwa!!
 
Bora huyo Nagu kuliko Sumaye. Waulize mvomero watakupa habari yake

kuchukua ardhi ambayo hata Nagu atakua nayo siyo issue kubwa..tatizo kukalia nafasi nyeti serikalini na kutokufanya kazi za kitaifa na kufanya kazi kama stamp za mafisadi huku taifa likudumaa kiuongozi na kiuchumi (nagu waziri wa sheria, waziri wa viwanda na biashara, sasa wamempachika eti uwekezaji wakati tuna kituo cha uwekezaji chenye kuajiri wataalam wa kuishauri serikali na kufaniskisha huu uwekezaji...huu ni ujinga kuliko Mvomero
 
Mkuu hii thread yako sijaielewa kabisa, kwani Sumaye yupo kwenye kundi gani? Huyu jamaa nadhani katika mawaziri wakuu waliojitajirisha wakiwa madarakani huyu anaongoza. Kwani ile Hotel ya Mt. Meru Arusha ni ya nani? Alikamata maeneo mengi na vitega uchumi kibao. Kwa kweli Lowasa ni nafuu ya huyu jamaa

Lowassa akiwa nafuu ina maana Sumaye ana billioni ngapi in $$? 2navyojua hamna mwanasiasa TZ anamsogelea Edwadi kwa fungu...
 
CCM wanakimbia kwa kasi kwenye mteremko wanajidai wanambia. Siku zote nitasema hakuna kisichokuwa na mwisho. Na niwachache sana waliowasafi CCM
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom