Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,381
- 6,707
Ingawa uchaguzi wa CCM ni wao, hakuna kitu kimenishangaza kama watu wenye udhu kama Fredrick Sumaye waziri mkuu wa zamani kuangushwa na Mary Nagu mtuhumiwa wa kughushi vyeti vya taaluma. Nimeshangaa kwa mafisadi kama Edward Lowassa na Andrew Chenge kupeta huku watu wenye udhu kama Sumaye kutupwa nje. Je CCM na wanachama wake wameanza kujitofautisha na biashara ya kula takrima bila kujali kama wanayemchagua ni fisi, fisadi au chatu? Nini mawazo yako?