KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
ndoto zingine ni sawa na burudani...
am loving the entertainment ! maana tunapoteza muda, !!
ndoto zingine ni sawa na burudani...
am loving the entertainment ! maana tunapoteza muda, !!
Tatizo watu wakijua kubonyenza keyboard huona kuwa wanajua kila kitu... huyo anayesema ccm lazima ife hana lolote jipya... hili bandiko ni nzito sana lakini limekosana nyama, sasa bora tupige soga tu.. ndio maana nasema ni ndotokamanda cha kujua watu hapa siyo watoto fukuza majambazi la z sivyo lazima ukubali CCM haiwezi kudumu kwa kuwakumbatia majambazi. Tuko makini na hili mkuu
KANU ilikufa kirahisi hivyo kama unavyofikiria?kusingekuwa na MUUNGANO WA VYAMA KANU ISINGENG'OKA kamwe?Mkuu unajua usipokuwa na mawazo kuwa CCM itakufa basi utakuwa umepitwa na wakati. nani achukue CCM mafisadi au? kuna mtu yuko tayari kupoteza au unafikiri migogoro iliyopo sasa inatoka wapi? kanu imekufa lakzima CCm kwa sababu ilianzishwa na watu lazima ife tu. CCM sasa hivi ni kampuni ya kuwalinda majambazi na kama haitawafukuza majambazi lazima ife tu.
KANU ilikufa kirahisi hivyo kama unavyofikiria?kusingekuwa na MUUNGANO WA VYAMA KANU ISINGENG'OKA kamwe?
Ndugu yangu ni rahisi kuanzisha vita lakini ni ngumu kuimaliza!sasa kuzaliwa kwa CCM ni tofauti kabisa na kifo chake!CCM haitakufa kwa kuiponda kwenye internet!kwani babu zangu kule Ng'wamalasa hawana hata neti hata magazeti hawasomi?ni kazi sana kusasababisha kifo cha CCM!
ila hakuna kitu kisichoshindikana kumbuka maneno matupu hayamtoi nyoka pangoni!
CCM lazima Ife!
1.CCM haiwezi kufa,
2. isipokuwa viongozi wabovu tu ndio wanaotakiwa kutoka au kutolewa mara moja,
3. CCM kama chama haina kosa lolote
4. viongozi wachache wabovu na mafisadi!
Its true ! CCM haiwezi kufa ila kuna watu ndani ya CCM watakufa na infact wamekwisha anza kufa natural Death, watapukutika taratibu hadi ibaki ccm safi, alama za nyakati zinaonyesha hivyo!
Sasa hiyo CCM ikifa waliokuwa mafisadi ndani yake wataenda wapi?
Tayari wameandaa watoto wao wa kuzaa kukamata nafasi hizi!
usikimbie kivuli chako ndugu yangu. ina maana wewe ukichomwa na mwiba utasema eti kwanini ni utoe mwiba wakati kiatu cha kuvaa huna!! kalagha bao....Chama MBADALA? Au tujitawale Ki-Somali?