mtotowaccm
New Member
- May 20, 2008
- 3
- 0
Nimependa sana kijana alivyomaliza na Nyerere akisema tuanze upya!
hivi ndivyo nguvu kazi ya taifa inavyopotea.
Mgayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ! nadhani sasa unataka kunikomoa !
Mpaka ukiacha kutetea ufisadi wa ccm.
ahhhh, kumbe unadhani nipo hivyo ! basi usikimbie wewe tu !
Nakusubiria nikiwa nimejaa tele
anza basi butty boy !
kwa lugha hizi unataka ufungiwe sasa kisha uanze kulialia kuwa JF inachukia mafisadi na kuwafungia
kufungiwa nishawahi kufungiwa ! guess what ?? naweza nikakaa more than 2 months without stepping in here, so kufungiwa is even out of the question booty man !
kufungiwa kwangu hakutofanya wengine kukuitwa wewe butty boy au booty man !
butty boy, natoka mara moja , nitarudi within a second !