L'AMOUR
Senior Member
- Mar 8, 2011
- 110
- 24
Imenishangaza kutumika kwa Tanzania maneno kama kuandikwa na kufutwa kazi pia hali ya sintofahamu. Sasa najiuliza yale maneno yetu ya kuajiriwa au kupata kazi na kufukuzwa kazi ni yepi hasa ndio tuyatumie? Haya maneno nimezoea kuwasikia wakenya kupitia TV zao na sasa yameingia Tanzania na tunakutana nayo magazetini. Je magazeti au vyombo vya habari vinaruhusiwa kutumia lugha yoyote hata kama inaweza kupotosha umma?
Natangulisha shukurani za dhati kwa kunijengea kiswahili kizuri
Natangulisha shukurani za dhati kwa kunijengea kiswahili kizuri