Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Well said Nyamayao!!exactly ma bro, mie kama mama nahitajika kuwa nyumbani baada ya mihangaiko ya kutafuta ugali inabidi niwe home kuweka hiki na kile sawa, ni jukumu langu, sasa tukiambatana kila mahali muda wa kuangalia mengineyo nitaupata kweli?