Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali?

Wewe kwani zitakuhusu ni sharia laws zitawahusu wale wanaozifuata na kuzikubali wewe hazitakugusa pilipili ya shamba wewe yakuwashia nini?????

sasa kama hazitawahusu wengine kwann mnataka kuziingiza ktk mfumo wa nchi?? sheria za nchi zinawahusu wote bila kujali kabila wala dini n.k..sasa kama sharia itawahusu nyie tuu ya nn kutaka kuiweka kunako mfumo wa nchi kwann msibaki nayo kwa dini yenu tuu...iyo mahakama ya kadhi sijui oic ni ndoto nchi hii ya Tanzania..umless watanzania woote kwa ujumla wetu tumechoka na hii amani..na tukiamua hivyo kwamba tumechoka na hii amani hakuna atakeyepona..simple..
 
Wakati wenzenu wanakaa kitako kuangalia changamoto za dunia ya kesho, nyie mnabishania dini (za wakoloni). Miafrika kwa kujipendekeza bana! ndio maana ni rahisi sana kuitumilia.
 
Magobe T,
  1. Jamii ya Hindu, wanayozo mahakama zao, Sunni wana mahakama zao, Ismailia wana mahakama zao na Singasinga pia wana mahakama zao. Kamwe huwezi kusikia kesi mahakama za kawaida wahindi wanadaiana, ukuina tuu imetinga mahakamama zetu, ujue one part sio mwenzao.
  2. Nadhani hata sisi tuna mahakama zetu za mambo ya ndoa, ambazo hukutana kila Alhamisi pale St. Joseph, uzuri wetu sisi, ni upatanisho tuu, hatuvunji ndoa kamwe!.

Hivi mahakama hizi pia zimo katika mfumo wa sheria ya nchi au wanaziendesha wenyewe kwa taratibu za madhehebu yao? Km waislamu wanao uwezo wa kuendesha na kuheshimu vitabu vyao na sheria/kanuni zinazotokana na vitabu vyao hapo hapana upinzani. Shida ni wanaposema vitabu vyao na dini yao haina nguvu hadi ipate mamlaka ya serkali za kidunia. Hapo pana shaka mambo ya kiroho yaendeshwe kwa nguvu ya serkali?
 
Hivi mahakama hizi pia zimo katika mfumo wa sheria ya nchi au wanaziendesha wenyewe kwa taratibu za madhehebu yao? Km waislamu wanao uwezo wa kuendesha na kuheshimu vitabu vyao na sheria/kanuni zinazotokana na vitabu vyao hapo hapana upinzani. Shida ni wanaposema vitabu vyao na dini yao haina nguvu hadi ipate mamlaka ya serkali za kidunia. Hapo pana shaka mambo ya kiroho yaendeshwe kwa nguvu ya serkali?
Omulangi, wanaziendesha wenyewe, kwa kutumia sheria zao na gharama zao, na mamlaka ya mahakama hizo ni kwenye issue zao za kijamii tuu na sio za kijinai.
Hata Waislamu, sijui hata kwanini wanalazimisha kuihusisha serikali, wenzeo wanafanyia mashauri yao Jamatini mwao kila Ijumaa usiku baada ya swala ya Isha. Hivi, nani kawazuia kufanya mashauri yao misikitini baada ya swala?. vibali vya kiserikali vya nini?, kama ndoa wanafungisha waruhuriwe pia kwa ile talaka tatu kutambulika, ila lazima isajiliwe mahakama za kiserikali, vingine waruhusiwe kutengeneza cheti chao cha ndoa ya Kiislamu, mambo ya ndoa na talaka wayamalize wenyewe mumo kwa mumo!.
 
Shida kubwa ya Waisilamu ni kutaka kubebesha serikali uendeshaji wa Taasisi yao. Kadhi atalipwa shs millioni 20 kwa mwezi, eti serikali kama itaridhia ndio watakaolipa. Yaani watakuwa kwenye bajeti ya serikali. SWALI walipa kodi ni waisilamu TU? Kwa nini jasho la watu ambao SHARIA haiwahusu wachangie kulipa.
Nyie fanyeni kama Wakatoliki na Mahakama yao na wanajua wenyewe jinsi ya kuendesha na hata madhebu mengine hawahusiki.
Serikali yetu haina dini, Msilete vya kuleta, endesheni kwa sadaka ZENU.
 
"Endeleeni kufanya utani na amani ya nchi tu iko siku wote tutawajibika"
wale wanaodharau maneno ya masheikh wasigubikwe na udini na kuwasukuma kutoa lugha chafu na dharau mazali tu alietoa mawazo ni sheikh .(Qinin $wostgoods- samahani lkn)
hicho wanacholalamikia masheikh kingetazamwa kwa jicho la uoni kwa mustakabali wa nchi .katika nchi kukiwa na kundi moja likahisi linakandamizwa na serikali wenzao wakiwa wanafaidi hakupaswi kupuuzwa basi kungekuwa na nia njema kungeundwa team kufuatilia madai na kuja na mapendekezo kwa ajili ya mshikamano wa kitaifa.
kwa mfano masheikh wanasema hakuna usawa wa ajira katika nafasi nyeti za utendaji maofisini kati ya waislamu na wakristo sembuse katika vyuo vikuu vya serikali achilia mbali vyuo vya wakiristo na waislamu.vile vile katika mashirika ya umma na ya kijamii.
lengine ni kubezwa kwa ahadi na matakwa ya waislamu katika mambo mbali mbali yanayowahusu hili wanalitolea mifano hai kwa mfano.
serikali kupitia waziri membe aliliambia bunge kuwa serikali imejiridhisha kuwa suala la OIC halina madhara na linafaida kwa nchi aidha suala la mahkama ya kadhi lakini punde tu baada ya kauli hii mheshimiwa huyu allitwa na maaskofu na baada ya muda serikali ikabadilisha msimamo jee huku si kubezwa kwa waislamu?
pili baada ya serikali kuja na hoja ya kutaka kuondoa misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini kwa sababu ya kutumiwa vibaya nafasi hio na viongozi wa dini serikali ilikaripiwa na maaskofu na punde tu ikasalimu amri kwa sababu wao ndio wanaofaidi zaidi(waislamu na taasisi zao za nje za misaada zilifungiwa kisa ugaidi) jee hali hii ikilalamikiwa kuwa waislamu hawajaliwi nchi hii itakuwa wamekosea?
kila wanachosema maakofu serikali inatii na jamii ikishuhudia hayo unadhani jamii hii hii wakiwawemo waislamu watanyamaza? hapa hapataki jazba kuna tatizo kubwa la serikali kuegemea upande mmoja iwe ni dhana au vitendo lakini jamii inaona na ndio inayohukumu .hapa ndipo yanapozuka maneno "mfumo kristo wa serikali " tulijue tatizo, tukubali kama ni tatizo ,tujiridhishe kuwa ni tatizo na tuliondowe . babaisha toto tu itaitumbukiza Tanzania pabaya.
Mungu ibariki tanzania .
 
"Endeleeni kufanya utani na amani ya nchi tu iko siku wote tutawajibika"
wale wanaodharau maneno ya masheikh wasigubikwe na udini na kuwasukuma kutoa lugha chafu na dharau mazali tu alietoa mawazo ni sheikh .(Qinin $wostgoods- samahani lkn)
hicho wanacholalamikia masheikh kingetazamwa kwa jicho la uoni kwa mustakabali wa nchi .katika nchi kukiwa na kundi moja likahisi linakandamizwa na serikali wenzao wakiwa wanafaidi hakupaswi kupuuzwa basi kungekuwa na nia njema kungeundwa team kufuatilia madai na kuja na mapendekezo kwa ajili ya mshikamano wa kitaifa.
kwa mfano masheikh wanasema hakuna usawa wa ajira katika nafasi nyeti za utendaji maofisini kati ya waislamu na wakristo sembuse katika vyuo vikuu vya serikali achilia mbali vyuo vya wakiristo na waislamu.vile vile katika mashirika ya umma na ya kijamii.
lengine ni kubezwa kwa ahadi na matakwa ya waislamu katika mambo mbali mbali yanayowahusu hili wanalitolea mifano hai kwa mfano.
serikali kupitia waziri membe aliliambia bunge kuwa serikali imejiridhisha kuwa suala la OIC halina madhara na linafaida kwa nchi aidha suala la mahkama ya kadhi lakini punde tu baada ya kauli hii mheshimiwa huyu allitwa na maaskofu na baada ya muda serikali ikabadilisha msimamo jee huku si kubezwa kwa waislamu?
pili baada ya serikali kuja na hoja ya kutaka kuondoa misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini kwa sababu ya kutumiwa vibaya nafasi hio na viongozi wa dini serikali ilikaripiwa na maaskofu na punde tu ikasalimu amri kwa sababu wao ndio wanaofaidi zaidi(waislamu na taasisi zao za nje za misaada zilifungiwa kisa ugaidi) jee hali hii ikilalamikiwa kuwa waislamu hawajaliwi nchi hii itakuwa wamekosea?
kila wanachosema maakofu serikali inatii na jamii ikishuhudia hayo unadhani jamii hii hii wakiwawemo waislamu watanyamaza? hapa hapataki jazba kuna tatizo kubwa la serikali kuegemea upande mmoja iwe ni dhana au vitendo lakini jamii inaona na ndio inayohukumu .hapa ndipo yanapozuka maneno "mfumo kristo wa serikali " tulijue tatizo, tukubali kama ni tatizo ,tujiridhishe kuwa ni tatizo na tuliondowe . babaisha toto tu itaitumbukiza Tanzania pabaya.
Mungu ibariki tanzania .
Kwa hiyo hata kichaa tumsikize tu kwa sababu anatishia kuvuruga amani?
 
Magobe T,
  1. ni kweli, unapoahidiwa kitu, kipindi chote cha kusubiria, lazima uwe mpole. Kabla ya ahadi hizo, hao ndio waliokuwa mstari wa mbele kuichachafya serikali.
  2. Kilichofanyika katika Ilani ya CCM, kilikuwa danganya toto kwa jina ya 'engenging the Muslim community'. Lakini kwa vile walipewa legitimate expectation, hata kama lengo halikuwa kweli, lakini sasa litabidi liwe kweli vinginevyo hako mbeleni hakutakalika.
  3. Mimi ni Mkatoliki Die Hard, lakini nawaunga mkono ndugu zetu Waislamu kweli hili la Mahakama ya Kadhi hata kwenye la IOC kwa upande wa Zanzibar.
  4. Uganga ni member wa IOC na pia anayo mahakama ya Kadhi.
  5. Kabla ya uhuru mpaka tunapata uhuru, tulikuwa na Mahakama ya Kadhi, haina problem kwa isiyowahusu.
  6. Jamii ya Hindu, wanayozo mahakama zao, Sunni wana mahakama zao, Ismailia wana mahakama zao na Singasinga pia wana mahakama zao. Kamwe huwezi kusikia kesi mahakama za kawaida wahindi wanadaiana, ukuina tuu imetinga mahakamama zetu, ujue one part sio mwenzao.
  7. Nadhani hata sisi tuna mahakama zetu za mambo ya ndoa, ambazo hukutana kila Alhamisi pale St. Joseph, uzuri wetu sisi, ni upatanisho tuu, hatuvunji ndoa kamwe!.
  8. Na kama zikianza, zitawahusu Waislamu tuu ambao wataridhia kutumia sharia law kwa ridhaa zao wenyewe bila kulazimishwa.
  9. Ikitokea ndoa ya Muislamu na asiye Muislamu, sheria za nchi ndizo zitatumika.
  10. Nasisitiza, waacheni wapate wanacholilia as long as serikali haitazigharimia wala kuwaingilia. Sio vizuri kuwadanganya wenzenu kama danganya toto, watafika mahali wakate tamaa na kuamua kufanya lolote, tusije tukajiundia katawi ketu cha Al-Shabab na Al-Qaeda!.

Pasco, kama issue ni hiyo si wangekuwa wandai kwa namna inayofaa na siyo kuanza kulumbana na maaskofu pale wanapoipa changamoto serikali au vyombo vyake ili waonekane kama ni wasemaji wa serikali? Kama maaskofu nao wataanza kufanya hivyo si fujo za kidini zitaanza? Kwa bahati nzuri maaksofu wamekuwa hawawajibu wanapotoa pumba zao.

Mfano, wanasema eti Kanisa Katoliki lina jeshi Tanzania linaloitwa 'Commission for Armed Forces?' wakati ni huduma za kirofi kwa maaskari Wakatoliki wanaohitaji huduma hizo wakiwa vitani au sehemu zao za kazi? Kuna huduma kama hizi pia kwa wagonjwa majumbani au hospitali na pia kwa watumishi mbalimbali wa umma wanaofanya kazi kwenye mazingira ambayo upatikanaji wa huduma hizo si rais kwao. Sasa kwa nini wasilulize au hata kuomba kuona huduma hizo zikoje kuliko kutunga uongo kwa vile wana matumaini serikali iko kwenye mchakato ili wapate Mahakama ya Kadhi na Tanzania ijiunge na OIC?

Naamini hata kama kutakuwa na Mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC bado watakuwa na hoja zingine watakazoziibuwa, ambazo kwa sasa hazijawekwa wazi. Nimeshasikia wanaomba pia wawe na public holiday kwa Mwaka Mpya wa Kiislamu na pia Ijumaa iwe siku ya mapumziko kama ilivyo Sunday na New Year.
 
"Endeleeni kufanya utani na amani ya nchi tu iko siku wote tutawajibika"
wale wanaodharau maneno ya masheikh wasigubikwe na udini na kuwasukuma kutoa lugha chafu na dharau mazali tu alietoa mawazo ni sheikh .(Qinin $wostgoods- samahani lkn)
hicho wanacholalamikia masheikh kingetazamwa kwa jicho la uoni kwa mustakabali wa nchi .katika nchi kukiwa na kundi moja likahisi linakandamizwa na serikali wenzao wakiwa wanafaidi hakupaswi kupuuzwa basi kungekuwa na nia njema kungeundwa team kufuatilia madai na kuja na mapendekezo kwa ajili ya mshikamano wa kitaifa.
kwa mfano masheikh wanasema hakuna usawa wa ajira katika nafasi nyeti za utendaji maofisini kati ya waislamu na wakristo sembuse katika vyuo vikuu vya serikali achilia mbali vyuo vya wakiristo na waislamu.vile vile katika mashirika ya umma na ya kijamii.
lengine ni kubezwa kwa ahadi na matakwa ya waislamu katika mambo mbali mbali yanayowahusu hili wanalitolea mifano hai kwa mfano.
serikali kupitia waziri membe aliliambia bunge kuwa serikali imejiridhisha kuwa suala la OIC halina madhara na linafaida kwa nchi aidha suala la mahkama ya kadhi lakini punde tu baada ya kauli hii mheshimiwa huyu allitwa na maaskofu na baada ya muda serikali ikabadilisha msimamo jee huku si kubezwa kwa waislamu?
pili baada ya serikali kuja na hoja ya kutaka kuondoa misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini kwa sababu ya kutumiwa vibaya nafasi hio na viongozi wa dini serikali ilikaripiwa na maaskofu na punde tu ikasalimu amri kwa sababu wao ndio wanaofaidi zaidi(waislamu na taasisi zao za nje za misaada zilifungiwa kisa ugaidi) jee hali hii ikilalamikiwa kuwa waislamu hawajaliwi nchi hii itakuwa wamekosea?
kila wanachosema maakofu serikali inatii na jamii ikishuhudia hayo unadhani jamii hii hii wakiwawemo waislamu watanyamaza? hapa hapataki jazba kuna tatizo kubwa la serikali kuegemea upande mmoja iwe ni dhana au vitendo lakini jamii inaona na ndio inayohukumu .hapa ndipo yanapozuka maneno "mfumo kristo wa serikali " tulijue tatizo, tukubali kama ni tatizo ,tujiridhishe kuwa ni tatizo na tuliondowe . babaisha toto tu itaitumbukiza Tanzania pabaya.
Mungu ibariki tanzania .

Watoe hoja na siyo kuwalalamikia viongozi wa dini wenzao na kutunga uongo kwamba Kanisa Katoliki hapa nchini lina jeshi linalojulikana Commission for Armed Forces! Liko wapi na kamanda wao ni nani?
 
1. Waislamu wameahidiwa Mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC.
2. Hii imewafanya waweke matumaini makubwa kwa Serikali ya Awamu ya Nne na kwa rais Jakaya Kikwete kuwa amesikia kilio chao cha muda mrefu.
3. Je, haya matumaini ndiyo yanayofanya baadhi ya masheikh waanze kuwapinga maaskofu pale wanapotoa kauli dhidi ya serikali ili ionekane wanaiunga mkono serikali? I.e. Wanaogopa serikali isije ikabadili msimamo wake kuhusu Mahakama ya Kadhi na OIC?

mmezoea sana kubebwa na kila lisemwalo na maaskofu lazima likubaliwe. Mtasema sana lakini hapa maaskofu imewapuruchuka hawawezi kuikemea serikali na kuikosea adabu na wasislamu wakaunga mkono. sasa tusibadili mada. tusema maaskofu wamechemka hata kama waislamu hawakuaidiwa lolote lakini lazima wapinge uozo wa maaskofu.
 
mmezoea sana kubebwa na kila lisemwalo na maaskofu lazima likubaliwe. Mtasema sana lakini hapa maaskofu imewapuruchuka hawawezi kuikemea serikali na kuikosea adabu na wasislamu wakaunga mkono. sasa tusibadili mada. tusema maaskofu wamechemka hata kama waislamu hawakuaidiwa lolote lakini lazima wapinge uozo wa maaskofu.

Ni sawa siyo lazima masheikh wawaunge mkono maaskofu. Lakini hakuna tija kama kila watakalosema maaskofu masheikh walitotee tamko/walipinge. Kwani wamekuwa wasemaji wa serikali au ni kwa vile wameahidiwa Mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC na sasa wanalipa fadhila kuto'antagonise' serikali isije ikawageuka? Kama wanataka waonekane wana akili nzuri (wana'argue intelligently') wangekuwa wanatoa hoja zao bila ya kulumbana na maaskofu au kuwasukumia matatizo yao binafsi. Hapa ndipo tungeona wanatoa hoja za msingi.
 
Nashangaa Serikali inahusikaje na Mahakama ya Kadhi pamoja na OIC? Waislamu wajiunge wenyewe kwa wakati wao bila kuihusisha serikali. Hakuna anayewazuia kamwe?. Mwacheni Kikwete wa watu aliyonayo yanamtosha msimuongezee presha nyingine. Hii si nchi ya kidini!!!!!!!!!!!!!!!
 
"Endeleeni kufanya utani na amani ya nchi tu iko siku wote tutawajibika"
wale wanaodharau maneno ya masheikh wasigubikwe na udini na kuwasukuma kutoa lugha chafu na dharau mazali tu alietoa mawazo ni sheikh .(Qinin $wostgoods- samahani lkn)
hicho wanacholalamikia masheikh kingetazamwa kwa jicho la uoni kwa mustakabali wa nchi .katika nchi kukiwa na kundi moja likahisi linakandamizwa na serikali wenzao wakiwa wanafaidi hakupaswi kupuuzwa basi kungekuwa na nia njema kungeundwa team kufuatilia madai na kuja na mapendekezo kwa ajili ya mshikamano wa kitaifa.
kwa mfano masheikh wanasema hakuna usawa wa ajira katika nafasi nyeti za utendaji maofisini kati ya waislamu na wakristo sembuse katika vyuo vikuu vya serikali achilia mbali vyuo vya wakiristo na waislamu.vile vile katika mashirika ya umma na ya kijamii.
lengine ni kubezwa kwa ahadi na matakwa ya waislamu katika mambo mbali mbali yanayowahusu hili wanalitolea mifano hai kwa mfano.
serikali kupitia waziri membe aliliambia bunge kuwa serikali imejiridhisha kuwa suala la OIC halina madhara na linafaida kwa nchi aidha suala la mahkama ya kadhi lakini punde tu baada ya kauli hii mheshimiwa huyu allitwa na maaskofu na baada ya muda serikali ikabadilisha msimamo jee huku si kubezwa kwa waislamu?
pili baada ya serikali kuja na hoja ya kutaka kuondoa misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini kwa sababu ya kutumiwa vibaya nafasi hio na viongozi wa dini serikali ilikaripiwa na maaskofu na punde tu ikasalimu amri kwa sababu wao ndio wanaofaidi zaidi(waislamu na taasisi zao za nje za misaada zilifungiwa kisa ugaidi) jee hali hii ikilalamikiwa kuwa waislamu hawajaliwi nchi hii itakuwa wamekosea?
kila wanachosema maakofu serikali inatii na jamii ikishuhudia hayo unadhani jamii hii hii wakiwawemo waislamu watanyamaza? hapa hapataki jazba kuna tatizo kubwa la serikali kuegemea upande mmoja iwe ni dhana au vitendo lakini jamii inaona na ndio inayohukumu .hapa ndipo yanapozuka maneno "mfumo kristo wa serikali " tulijue tatizo, tukubali kama ni tatizo ,tujiridhishe kuwa ni tatizo na tuliondowe . babaisha toto tu itaitumbukiza Tanzania pabaya.
Mungu ibariki tanzania .

Naomba uangalie kwenye rangi nyekundu zote na usome maelezo yangu hapa
Moja: Usawa katika ajira katika sehemu nyeti za serikali na mashirika ya jamii, jibu ni kwamba waislam wengi hawajaenda shule, na waliopo ni wachache, hebu tu jiulize ni mikoa gani yenye wasomi zaidi Tanzania? je ni pwani, lindi, Nadhani jibu unalo, Mie katika kusoma kwangu kote Tanzania mpaka ngazi ya shahada, haijawahi kutokea hata 1/3 ya waislam darasani (kuanzia elimu ya form six na kuendelea). sasa kama hakuna wasomi wengi wa kiislam unategemea nini? Haf kitu kingine hayo mashirika ya kijamii na serikali yanaangalia sifa za muombaji na si dini.
Pili:Swala la misamaha ya kodi linahusu mashirika yote na si ya wakristo tu, kwa hiyo nadhan hata waislam wanafaid kwa namna moja au nyingine.
Tatu: Si kwamba serikali inaegemea upande mmoja bali inafuata haki, Nadhani kabla ya kulalamika fanyenu uchunguzi wa kina muone ni nani ambaye alishawahi kunyimwa kazi na sifa zote alikuwa nazo kisa muislam?
Hitimisho kanisa katoliki haliwakilishi wakristo wote Tanzania kuna Zaidi ya madhehebu 100, na pia kuna dini nyingine, na pia sehemu kubwa ni wapagani. Kwa hiyo hizo hukumu zenu si sahihi, na wapagani pamoja na madhehebu mengine yakidai yanaonewa unadhani hii nchi itakalika?
Ni afadhali tu kufuata katiba ya nchi na swala la dini liwe la mtu binafsi nje ya serikali.
 
Magobe T,
  1. ni kweli, unapoahidiwa kitu, kipindi chote cha kusubiria, lazima uwe mpole. Kabla ya ahadi hizo, hao ndio waliokuwa mstari wa mbele kuichachafya serikali.
  2. Kilichofanyika katika Ilani ya CCM, kilikuwa danganya toto kwa jina ya 'engenging the Muslim community'. Lakini kwa vile walipewa legitimate expectation, hata kama lengo halikuwa kweli, lilikuwa kuwahadaa tuu ili kuvuna kura zao, lakini sasa litabidi liwe kweli vinginevyo hako mbeleni hakutakalika.
  3. Mimi ni Mkatoliki Die Hard, lakini nawaunga mkono ndugu zetu Waislamu kweli hili la Mahakama ya Kadhi hata kwenye la IOC kwa upande wa Zanzibar ni haki yao, tuwatendee haki Waislamu wa Tanzania
  4. Uganda ni member wa IOC na pia anayo mahakama ya Kadhi, Kenya wanayo mahakama ya Kadhi, hata Uingereza ambayo serikali yake ni ya kidini Anglica, wanayo mahakama ya Kadhi, why not Tanzania?
  5. Kabla ya uhuru mpaka tunapata uhuru, tulikuwa na Mahakama ya Kadhi, haina problem yoyote kwa isiyowahusu.
  6. Jamii ya Hindu, wanazo mahakama zao, Sunni wana mahakama zao, Ismailia wana mahakama zao na Singasinga pia wana mahakama zao. Kamwe huwezi kusikia kesi mahakama za kawaida wahindi wanadaiana, ukuioa tuu kuna kesi ya madai ya mhindi, baniani au singasinga imetinga mahakamama zetu, ujue one part sio mwenzao.
  7. Nadhani hata sisi Wakristu Wakatoliki tuna mahakama zetu za mambo ya ndoa, ambazo hukutana kila Alhamisi pale St. Joseph, uzuri wetu sisi, ni upatanisho tuu, hatuvunji ndoa kamwe!.
  8. Na kama zikianza, zitawahusu Waislamu tuu ambao wataridhia kutumia sharia law kwa ridhaa zao wenyewe bila kulazimishwa.
  9. Ikitokea ndoa ya Muislamu na asiye Muislamu, sheria za nchi ndizo zitatumika.
  10. Nasisitiza, waacheni Waislamu wapate wanacholilia as long as serikali haitazigharimia wala kuwaingilia. Sio vizuri kuwadanganya wenzetu kama kuwafanya watoto kwa danganya toto, watafika mahali wakate tamaa na kuamua kufanya lolote, tusije tukajiundia katawi ketu cha Al-Shabab na Al-Qaeda!.
Pasco
Hao hao Waislam anaowachukia ndiyo waliomsaidia katika maisha yake,
Shukran ya punda mateke.
CC Mohamed Said
P
 
Back
Top Bottom