Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,100
- 1,435
Wakuu mdogo wangu ameingia mkenge! aliagiza gari na kutuma pesa bila kutumia Pay Trade lakini hadi leo hakuna gari wala mawasiliano tena, ni kimya kabisa. Nani mwenye msaada, je anaweza pata pesa zake au ndiyo mkenge jumla! hajala tangu juzi kwa kiwewe na kiwewe cha kupoteza hizo senti alizo dunduliza?