Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Kwa muda wa siku tano sasa mafuta ya taa yameadimika ukanda wa huku kwetu mikoa ya Iringa, Njombe, na Mbeya. Sijui na nyie wenzetu huko Dar mtindo ni huohuo? Wanasema mpaka jumanne! Jamani wanajamii tujadili hili suala kwa siye tulio vijijini bora ikosekane sukari lakini siyo mafuta ya taa! Je ni halali kukosa mafuta ya taa kwa wiki nzima? Tafakari.