killo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 401
- 94
Wana jamii forum habari za usubuhi,
Naomba kuuliza hivi kuna mgomo wa mafuta ya gari... so far nimepita viuo takribani saba na vyote wanasema hakuna mafuta... to be precise; bamaga ya tbc, oilcom sayansi, oilcom victoria, victoria petrol station, total moroko na gapco mbili za ST. Peter, wote hao hawana mafuta kweli linawezekana hili..?
Ni hilo tu, kama nikipata ufafanuzi nitashukuru
siku njema
Naomba kuuliza hivi kuna mgomo wa mafuta ya gari... so far nimepita viuo takribani saba na vyote wanasema hakuna mafuta... to be precise; bamaga ya tbc, oilcom sayansi, oilcom victoria, victoria petrol station, total moroko na gapco mbili za ST. Peter, wote hao hawana mafuta kweli linawezekana hili..?
Ni hilo tu, kama nikipata ufafanuzi nitashukuru
siku njema