Kuadhimisha Mapinduzi Zanzibar

terabojo

JF-Expert Member
Aug 3, 2010
215
45
Kheri ya Mwaka Mpya Wana JF, jana jioni nilipokea ujumbe (txt msg) ukisomeka ifuatavyo "Tuadhimishe mapinduzi au tuililie Zanzibar? Jee unajua: ZNZ ilikuwa na taa za barabarani kabla ya London! Gari ya mwanzo kuingia Kuwait ilitoka ZNZ! Meli zote Afrika Mashariki zilichukua maji Zanzibar na malipo yakitosha kulipia wafanyakazi wote! Ilikuwa na uchumi imara ya pili afrika baada ya south africa! Ilikuwa ya pili kwa usomi afrika baada ya Ghana!Ilikuwa ikitoa misaada! Leo ni ombaomba aliye gizani!! Hii ni UNGUJA au UNGUZA? Chukua hatua maisha bora!"

Hayo ni kweli au ndo uchochezi?
 
Kheri ya Mwaka Mpya Wana JF, jana jioni nilipokea ujumbe (txt msg) ukisomeka ifuatavyo "Tuadhimishe mapinduzi au tuililie Zanzibar? Jee unajua: ZNZ ilikuwa na taa za barabarani kabla ya London! Gari ya mwanzo kuingia Kuwait ilitoka ZNZ! Meli zote Afrika Mashariki zilichukua maji Zanzibar na malipo yakitosha kulipia wafanyakazi wote! Ilikuwa na uchumi imara ya pili afrika baada ya south africa! Ilikuwa ya pili kwa usomi afrika baada ya Ghana!Ilikuwa ikitoa misaada! Leo ni ombaomba aliye gizani!! Hii ni UNGUJA au UNGUZA? Chukua hatua maisha bora!"

Hayo ni kweli au ndo uchochezi?

Hizo ni kauli za Chadema hizo lakin hazima mashiko hata kidogo. Kumbuka ni wiki iliyopita tu wamesingizia walipata jimbo moja kule Pemba. Na sasa wanatafuta namna ya kufarakanisha Znz nao waweze kuingia kwa kishindo visiwani humo.

Tuwape pole.

 
Back
Top Bottom