Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
ukiachwa na umpendaye yanakukuta yapi mabaya zaidi
ukiachwa na umpendaye yanakukuta yapi mabaya zaidi
Mnhhhhhhhh.......achwa kwanza ndio utaelewa
Unajihisi hupo Duniani ingawa kiukweli ni mzima!
Marafiki zake unawachukia kuwa huenda ndio wamemshauri akuache! Marafiki zako pia kwani unaona walijua lakini waliamua kutokukwambia!
Unakosa usingizi na hamu ya kula!
Na usipopata ujasiri wa kuamua kusonga mbele unaweza kuishia ile hospitali maarufu pale Dodoma!
kuachwa bwana ackuambie mtu, khaaa niliwachukiaga wanaume wote duniani.
it hard to take nakwambia!!!
mi nilifikia point hata mwanume akinitongoza vita yake haina mwamuzi!!!
kiukweli u can reach to a very stupidy decision!!!!
eeeh mweh ngoja ninyamaze!!! Its only monday......
Wa kwanza huyu.............Kuachwa ni shughuli pevu ...kama haijakutokea shukuru mungu
Hapa ngoja nirizevu komenti yangu.it hard to take nakwambia!!!
mi nilifikia point hata mwanume akinitongoza vita yake haina mwamuzi!!!
kiukweli u can reach to a very stupidy decision!!!!
eeeh mweh ngoja ninyamaze!!! Its only monday......
Dah! Kumbe na wewe? Punguza ukali basi dada. Utaachwa tena afu itakuwa balaa.mie ilinifanya nikawa sitongozeki tena, niliona game lina wenyewe mie ctaliweza...halafu ndio huyo huyo bada ya muda kupita ananical eti aliteleza nimsamehe...balaa kubwa!
@ biggu unaziresevu mpaka saa ngapi?? sema tu................
Mie nawapenda walioachika! wakija kwako wanakuwa wamejirekebisha!
Mie nawapenda walioachika! wakija kwako wanakuwa wamejirekebisha!
wanakuwa na hasira ....inategemea uliachwa kwa sababu gani, kama kwasababu wazazi hawakupenda ndio shughuli