Kuachwa na your/my first love -vs- umri

SAMAHANI MAMA/BABA
nashindwa kuelewa ni kwanini huyu mwenye umri wa 32 ataumia zaidi?mimi nilidhani kwake yeye na utu uzima wake angerely kwenye FACTS na kukubali matokeo BILA KUUMIA

uchunguzi binafsi unaonyesha huyu mdogo anaendeshwa na hisia


Huyu ni baba mkuu

Ni kweli mdogo ataumia kwa hisia za kimhemko ...ila mkubwa ataumia zaidi kwa ile sense ya ersponsibility.

Tena mfano wako ni mzuri kuwa ni FIRST LOVE, bora ingekuwa sio first love tungesema past credit will serve the time.

Pia hisia hizohizo za huyu mdogo zitampa uhakika wa kumpata mwingine maana umri wake unampa ruhusa zaidi kutulia na kujipanga upya akiwa hafungwi sana na muda. Hebu piga mahesabu kwa mwenye umri mkubwa anavyopata taabu akianza kupiga mahesabu ya kuanza moja wakati umri unaenda...
 
nakubaliana na wewe unachokisisitiza hapa michelle,
kuachwa kweli kuna maumivu kwa pande zote mbili,
na hasa kama mlikuwa kwenye upendo wa hali ya juu,
labda kwa upande wa umri, mimi naweza kuwa na mtizamo tofauti kidogo,
mimi naangalia umri wa hayo mahusiano na wala sio umri wa hao walengwa,
Nashawishika kuwa pindi mahusiano ya wawili wapendanao,
yanapokuwa yamekwenda mbali kidogo, kwa maana ya kuwa yamekuwa ni ya muda mrefu,
lazima kuna kuwa na hali ya kila mtu kujitoa kwa mwenzake na kuona kwamba bila mwenzie maisha hayapo,
isitoshe kila upande unakuwa umeinvest mambo mengi na matarajio ya kimaisha kwa mwenzie,
sasa inapotokea mnasambaratika, maumivu yanakuwa ni makubwa sana,
kwanza kwa ile fear of the unknown, pili, unaona maisha hayapo tena na matumaini yanakufa automatically!!!!
bacha,
i love this post of yours....!

The Following User Says Thank You to bacha For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Kuna swala la kuumia zaidi (ukubwa wa maumivu) Vs muda wa kuumia (maumivu endelevu..if you like). Kuna uwezekano mkubwa katika mfano wa kwanza (haijalishi umri) kwa kuwa ulikuwa mwaminifu kwa kipindi cha miaka 3, na mapenzi yenu hayakujengwa kwenye vitu wala tam tam, na ukweli kwamba binti aliondoka bila sababu na juhudi za kufahamu sababu zilishindikana. basi maumivu yatakuwa MAKALI na ENDELEVU na yasio-SAHAULIKA kirahisi. Kwa maan nyingine.......you will live to tell that story (kama ulivyodhihirisha hapa jf leo baada ya 7 years kupita:smile-big::smile-big:)

Kwa upande mwingine........ukiwa ankal kama Asprin, unaweza kuumia sana kwa muda mfupi kutegemeana na malengo uliyokuwa nayo na that partner of yours. Katika umri huo, ni wanaume wachache sana wanaotaka kuwa na gal friend tu hviv hivi bila kuwa/au kuanza kufikiri is she a compatible partner? Sasa kama dada akichapa lapa........ankal katika umri huo ni rahisi sana kuumia sana na ndani ya mwezi mmoja akapata replacement. Kumbuka umri ni muhimu sana hapa.........kijana wa 22 hawezi kupata replacement fasta fasta kwa minajili ya consolation ....CONSOLATION INAONDOA MAUMIVU......na consolation huwa zinatoka kwa back-up au X.......sasa kinaja wa 22 anaweza kuwa na back up? au akawa na X wa maana kiivo? jibu ni hapana.

Nawasilisha.
 
mi nilidhani huyu mtu mzima anaendeshwa na facts zaidi,KWA HIYO HAUMII KIVIIILE KWAKE NI KWAMBA HAIJALISHI KAMA NI FIRST LOVE AU LA[/QUOT

Ingawa kweli machungu ya kuachwa yanauma kwa kila mtu. Lakini Time factor pia inachangia kwa mimi ninavyoona.
 
Nikiangalia mtiririko wa hii sredi nimegundua kitu kimoja...

Umri una mata......na Jinsia nayo ina mata!

Mwanamke wa miaka 32 years akiachwa, si sawa na mwanaume wa miaka 32 akiachwa.
Mwanamke wa miaka 22 akiachwa si sawa na mwanaume wa miaka 22 akiachwa

Sijui mmenielewa?

Endeleeni kujadili, babu atakonkludi.
 
Yani.........hahahaa hahahaa hahahaaa.
Sasa naona unaaza kuelewa maana ya KUGONGWA.

Ha ha ha ha, kaka wewe achaaaaaaa!!! Tena wakati huo unajiona unafanya maamuzi kiutu uzima kweli kweli, halafu jamaa anakula kona!!
 
Kuna swala la kuumia zaidi (ukubwa wa maumivu) Vs muda wa kuumia (maumivu endelevu..if you like). Kuna uwezekano mkubwa katika mfano wa kwanza (haijalishi umri) kwa kuwa ulikuwa mwaminifu kwa kipindi cha miaka 3, na mapenzi yenu hayakujengwa kwenye vitu wala tam tam, na ukweli kwamba binti aliondoka bila sababu na juhudi za kufahamu sababu zilishindikana. basi maumivu yatakuwa MAKALI na ENDELEVU na yasio-SAHAULIKA kirahisi. Kwa maan nyingine.......you will live to tell that story (kama ulivyodhihirisha hapa jf leo baada ya 7 years kupita:smile-big::smile-big:)

Kwa upande mwingine........ukiwa ankal kama Asprin, unaweza kuumia sana kwa muda mfupi kutegemeana na malengo uliyokuwa nayo na that partner of yours. Katika umri huo, ni wanaume wachache sana wanaotaka kuwa na gal friend tu hviv hivi bila kuwa/au kuanza kufikiri is she a compatible partner? Sasa kama dada akichapa lapa........ankal katika umri huo ni rahisi sana kuumia sana na ndani ya mwezi mmoja akapata replacement. Kumbuka umri ni muhimu sana hapa.........kijana wa 22 hawezi kupata replacement fasta fasta kwa minajili ya consolation ....CONSOLATION INAONDOA MAUMIVU......na consolation huwa zinatoka kwa back-up au X.......sasa kinaja wa 22 anaweza kuwa na back up? au akawa na X wa maana kiivo? jibu ni hapana.

Nawasilisha.
hehehehe!
sasa kiongozi mi nilidhani tunarely kwenye hizo parameters tajwa pale kati....!

lakini kama uliamua kuweka replacement,ili kutafuta uwiano TUWAWEKEE WOTE REPLACEMENT,halafu tuambie sasa katika mazingira tajwa hapo juu ''bila kuwa biased'' nani anaumia zaidi ya mwenzake?
 
Nikiangalia mtiririko wa hii sredi nimegundua kitu kimoja...

Umri una mata......na Jinsia nayo ina mata!

Mwanamke wa miaka 32 years akiachwa, si sawa na mwanaume wa miaka 32 akiachwa.
Mwanamke wa miaka 22 akiachwa si sawa na mwanaume wa miaka 22 akiachwa

Sijui mmenielewa?

Endeleeni kujadili, babu atakonkludi.
ofkoz YES...!
mi nadhani tungerely kwenye MWANAUME WA MIAKA 22 VS MWANAUME WA MIAKA 32
 
ofkoz YES...!
mi nadhani tungerely kwenye MWANAUME WA MIAKA 22 VS MWANAUME WA MIAKA 32

Sasa kaediti sredi yako kule, manake kila LD wameshaanza kulialia. Manake mwanamke akiachwa akiwa na aka 32........ duh!
 
Sasa kaediti sredi yako kule, manake kila LD wameshaanza kulialia. Manake mwanamke akiachwa akiwa na aka 32........ duh!
unajua hapa hoja ni KUACHWA NA MPENZI WAKO WA KWANZA KABISA......!katuka hizo nyumri mbili tofauti.....!

kuna watu hawajanielewa hapo mkuu,wameanza kuingiza ''personal'' feelings hapo kati.....!

NAZUNGUMZIA A FIRST LOVE WAJAMENI
 
......homu boi bana!
hehehe!
hommie kale kahiinza ka-mdandu kale ambako ndo ulijifunza nako usanii huo assume umekaa nako miaka sita halafu umewekeza kila kitu hapo kakikumwaga at your 22,niaje?
 
unajua hapa hoja ni KUACHWA NA MPENZI WAKO WA KWANZA KABISA......!katuka hizo nyumri mbili tofauti.....!

kuna watu hawajanielewa hapo mkuu,wameanza kuingiza ''personal'' feelings hapo kati.....!

NAZUNGUMZIA A FIRST LOVE WAJAMENI

Kuachwa ni kuachwa tu
 
nakubaliana na wewe unachokisisitiza hapa michelle,
kuachwa kweli kuna maumivu kwa pande zote mbili,
na hasa kama mlikuwa kwenye upendo wa hali ya juu,
labda kwa upande wa umri, mimi naweza kuwa na mtizamo tofauti kidogo,
mimi naangalia umri wa hayo mahusiano na wala sio umri wa hao walengwa,
Nashawishika kuwa pindi mahusiano ya wawili wapendanao,
yanapokuwa yamekwenda mbali kidogo, kwa maana ya kuwa yamekuwa ni ya muda mrefu,
lazima kuna kuwa na hali ya kila mtu kujitoa kwa mwenzake na kuona kwamba bila mwenzie maisha hayapo,
isitoshe kila upande unakuwa umeinvest mambo mengi na matarajio ya kimaisha kwa mwenzie,
sasa inapotokea mnasambaratika, maumivu yanakuwa ni makubwa sana,
kwanza kwa ile fear of the unknown, pili, unaona maisha hayapo tena na matumaini yanakufa automatically!!!!

Ni kweli kabisa Bacha wangu..............
 
Hebu T angalia quotes hizi toka kwa bwana mmoja anaitwa T. Jackson kwenye article yake..Helpful advice for teens dealing with breakups

"Breakups are lousy at any age.....However, It is difficult for adults in their thirties......

It's not that they are any less devastating to adults that are going through them, only that adults have often learned to "
put on a good face". Some adults don't manage to do that very well though ....."

Kwa hiyo kumbe kile kinachoonekana kama kuumia kukali kihisia kukali kwa watoto na kutokuonekana kihisia kwa muonekano wa nje kwa wenye thirties ni ile 'chozi la mtu mzima halitoki ovyo' ila ni ngumu zaidi kwa wenye 3O's



 
unajua hapa hoja ni KUACHWA NA MPENZI WAKO WA KWANZA KABISA......!katuka hizo nyumri mbili tofauti.....!

kuna watu hawajanielewa hapo mkuu,wameanza kuingiza ''personal'' feelings hapo kati.....!

NAZUNGUMZIA A FIRST LOVE WAJAMENI

Labda mi ni mmoja kati ya hao ambao hawakuelewi, First LOVE maanake nini??
Au unamaanisha iwe ni First Love kwa WANAUME PEKE YAO.
 
Back
Top Bottom