Kuachika kisha ukaolewa na mwingine dhambi?!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,947
22,101
wana JF naomba kuuliza swali;kuna mtu alioana na mwenzie baada ya hapo mwanamke akakimbilia mahakamani anataka kuvunja ndoa;mashallah kaka wa watu akasema nenda hakuna shaka mwenyezi mungu amtupi mja wake kama hakuna A basi B inafwata...wakaenda mahakamani wakaachana na mwanamke akaondoka kwa honi kubwa.......jamaa akaondoka akamwachia kila kitu huyo binti...huyo bwana mwezi wa nane anataka kuoa jamani....kasema kukaa na dhambi ya UZINZI kashindwa...je kuoa mara ya pili ruksa...DINI nkristo
TUMSAIDIEJE
 
wana JF naomba kuuliza swali;kuna mtu alioana na mwenzie baada ya hapo mwanamke akakimbilia mahakamani anataka kuvunja ndoa;mashallah kaka wa watu akasema nenda hakuna shaka mwenyezi mungu amtupi mja wake kama hakuna A basi B inafwata...wakaenda mahakamani wakaachana na mwanamke akaondoka kwa honi kubwa.......jamaa akaondoka akamwachia kila kitu huyo binti...huyo bwana mwezi wa nane anataka kuoa jamani....kasema kukaa na dhambi ya UZINZI kashindwa...je kuoa mara ya pili ruksa...DINI nkristo
TUMSAIDIEJE

Inategemea yupo dini gani na pia hiyo ndoa ya kwanza ilifungwa wapi? mfano Kama ni mkatolik na ndoa ya kwanza alifunga kanisani basi kuoa tena hiyo sio ndoa ni UZINZI.

Lakini kama hawakufika kanisani kufunga ndoa basi anahesabika bado hana ndoa.
 
mkuu mkAMA WALIFUNA KANISANI KABISA...MWISHO WAKAENDA MAHAKAMANI WAKAPEWA TALAKA
 
wana JF naomba kuuliza swali;kuna mtu alioana na mwenzie baada ya hapo mwanamke akakimbilia mahakamani anataka kuvunja ndoa;mashallah kaka wa watu akasema nenda hakuna shaka mwenyezi mungu amtupi mja wake kama hakuna A basi B inafwata...wakaenda mahakamani wakaachana na mwanamke akaondoka kwa honi kubwa.......jamaa akaondoka akamwachia kila kitu huyo binti...huyo bwana mwezi wa nane anataka kuoa jamani....kasema kukaa na dhambi ya UZINZI kashindwa...je kuoa mara ya pili ruksa...DINI nkristo
TUMSAIDIEJE

Sound like “ Nina mume wangu Mchaga, sasa wakati tunakamuana mimi huwa natokwa na maji Mengi sana yaana Na squirt, tatizo la Huyu Mchaga hapendi haya maji, lakini baada ya kuomba ushauri watu wengi wanapendezwa na Hali hiyo na hata wengine wakatamani wachukue nafasi ya huyo huyo Mchaga, katika pita pita yangu nikafahamishwa kuna watu wazee wa Katerero ni Wazuri sana wa kumfanya Mwanamke kuteremsha Maji ya kuweza kuzalisha megawati hata elfu mbili ( 2000 MW) za umeme. Sasa mimi nimechoka na Huyu Mchaga ninataka tuvunje ndoa niolewe na Mume mwingine but tulifunga ndoa na Mchaga wangu kanisani, Naombeni Ushauri jamani”.

Subiri Mama mia utapata ushauri tu
 
Sound like “ Nina mume wangu Mchaga, sasa wakati tunakamuana mimi huwa natokwa na maji Mengi sana yaana Na squirt, tatizo la Huyu Mchaga hapendi haya maji, lakini baada ya kuomba ushauri watu wengi wanapendezwa na Hali hiyo na hata wengine wakatamani wachukue nafasi ya huyo huyo Mchaga, katika pita pita yangu nikafahamishwa kuna watu wazee wa Katerero ni Wazuri sana wa kumfanya Mwanamke kuteremsha Maji ya kuweza kuzalisha megawati hata elfu mbili ( 2000 MW) za umeme. Sasa mimi nimechoka na Huyu Mchaga ninataka tuvunje ndoa niolewe na Mume mwingine but tulifunga ndoa na Mchaga wangu kanisani, Naombeni Ushauri jamani”.

Subiri Mama mia utapata ushauri tu

Mkuu wewe unaweza kuwa genius au siyo? Enzi zetu watu wanamna yako tuliwaita wataalamu au vipanga!!
 
Inategemea yupo dini gani na pia hiyo ndoa ya kwanza ilifungwa wapi? mfano Kama ni mkatolik na ndoa ya kwanza alifunga kanisani basi kuoa tena hiyo sio ndoa ni UZINZI.

Lakini kama hawakufika kanisani kufunga ndoa basi anahesabika bado hana ndoa.

Hizi ndizo baadhi ya taratibu za kanisa ambazo zimepitwa na wakati. Huyu Mtu tuseme ana miaka 25 halafu mwenyewe angependa kuoa au kuolewa tena lakini kanisa haliruhusu hilo. Ina maana aishi for the rest of his/her life bila ndoa!!!! Sasa ni bora afanye uzinzi akiwa ameoa/kuolewa au afanye uzinzi akiwa yuko single!!!? Kanisa linataka tuamini mtu kama huyu ataishi for the rest of his/her life bila kushiriki katika tendo la ndoa!!! Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.
 
Mngeweza kuwasaidia mods kwa kupost threads katika majukwaa husika.Hivi hili la kutambua jukwaa ambalo habari fulani itasuit ni gumu kiasi hiki?Hapana,lets be fair kwani thread nyingine znajieleza kabisa kuwa zingepaswa kuwekwa jukwaa lipi.
 
Hizi ndizo baadhi ya taratubu za kanisa ambazo zimepitwa na wakati. Huyu Mtu tuseme ana miaka 25 halafu mwenyewe angependa kuoa au kuolewa tena lakini kanisa haliruhusu hilo. Ina maana aishi for the rest of his/her life bila ndoa!!!!

Kama hataki hiyo karaha ya kuwa bachela maisha yake yote basi aichukulie ndoa kwa umakini sana (seriously), vinginevyo sheria inasema hivyo. Au tunataka kushauri na watu wa dini nao waanze kufanya mchezo wa TANESCO na Dowans wa kubadili sheria pale mambo yanapogoma? Naona huu mchezo unaenda mbali sana. Tutaishia kuwa "Animal farm" ambapo "All animals are equal but some are more equal than others"!!:rolleyes:
 
mkuu mkAMA WALIFUNA KANISANI KABISA...MWISHO WAKAENDA MAHAKAMANI WAKAPEWA TALAKA

Basi Kanisa halihesabu kama wametalakiana ila linasema wametengana kwa mda na baada ya given time t ,watarudiana na kuendelea na ndoa yao kama kawaida.

Huyo mwanamke mwingine atahesabika anafanya UZINZI
 
Kama hataki hiyo karaha ya kuwa bachela maisha yake yote basi aichukulie ndoa kwa umakini sana (seriously), vinginevyo sheria inasema hivyo. Au tunataka kushauri na watu wa dini nao waanze kufanya mchezo wa TANESCO na Dowans wa kubadili sheria pale mambo yanapogoma? Naona huu mchezo unaenda mbali sana. Tutaishia kuwa "Animal farm" ambapo "All animals are equal but some are more equal than others"!!:rolleyes:

Kwanini watu wawili ambao hawana mapenzi tena kati yao, kanisa liwalazimishe waishi katika ndoa wakati kila siku ni majuto na mateso tu!!! Hivi kweli Mungu anataka binadamu tuishi maisha yasiyokuwa na raha kwa miaka chungu nzima pamoja na kuwa tuna alternatives za kubadili hali hiyo!?
 
Kwanini watu wawili ambao hawana mapenzi tena kati yao, kanisa liwalazimishe waishi katika ndoa wakati kila siku ni majuto na mateso tu!!! Hivi kweli Mungu anataka binadamu tuishi maisha yasiyokuwa na raha kwa miaka chungu nzima pamoja na kuwa tuna alternatives za kubadili hali hiyo!?

Basi tufanye homework zetu badala kuhamanika na tamaa ya ngono na kutangaza doa. Hivyo vitu vingine tunavyoita raha ni ubinafsi tu. Mfano, mume/mke wako hataki uwe mzururaji,mlevi au mzinzi na wewe unasema anakunyima raha. Hiyo ni sawa? Kama watu wanaishi kwenye uchumba miaka hata 5 inakuwaje wanashindana baada ya miezi 6 tu? Naona ubinafsi ndio tatizo kubwa mkuu. Kwani kuna mtu anaishi kwenye ndoa bila kulipa gaharama ya kuishi na mwenzake?
 
Jamani hii thread kweli inafaa kuwa hapa?????? Sioni kama ina mahusiano na politics kwa njia moja au nyingine. Mods unaelewa kazi yako na wapi hii inafaa kuwepo.
Natanguliza shukrani
 
In earlier generations, this question was very seldom raised, simply because divorce was almost never encountered among Christians and was unusual even in the general population. Today, however, it has become a very real problem in evangelical Christian circles. Infidelity is no longer rare, even among Christian leaders, and one can hear almost weekly of some new pastoral “affair” and its traumatic effect on his church. With such examples in the leadership, it is bound to be even more common among the ordinary members, and the resulting decline in the stability of the Christian home today is surely one of the more alarming signs of the times.

In the past, attempts to deal with this question on a Biblical basis have tended to be somewhat academic, probably because the very idea of divorce was so alien to the expositor's own experiences. Nowadays, however, since the tragedy of divorce has spread so widely that almost every Christian has encountered it not only in his church but also among his close friends and relatives, it is vitally important that we seek to deal with it both Biblically and sympathetically.

First of all, the divine standard for marriage is lifelong commitment to one's spouse, and nothing else. Even though divorce was permitted in some cases under the Old Testament economy, Christ made it plain that this was not God's ideal. When He was asked this very question, "He answered and said unto them, Have ye not read, that He which made them at the beginning made them male and female, And said, For this cause shall a man leave father and mother, and shall cleave to his wife: and they shall be one flesh? Wherefore they are no more twain, but one flesh. What therefore God hath joined together, let not man put asunder." (Matthew 19:4-6).

This seems very comprehensive and conclusive, yet He immediately followed up this statement with the following apparent exception: "Whosoever shall put away his wife, except it be for fornication, and shall marry another, committeth adultery: and whoso marrieth her which is put away doth commit adultery" (Matthew 19:9; see also Matthew 5:31, 32).

It does seem from this statement that the discovery of extramarital unchastity on the part of one' spouse is here given as a possible grounds for divorce. God does place a high value on faithfulness, on the part of both bride and bridegroom, as a basis for a happy and lasting marriage. Fornication is condemned as a sin in both Old and New Testaments.

In this day of widespread sexual license, however, this provision might well become a rather common ground for divorce, even among Christians. It does, indeed, dilute the principle of “one flesh” used by God to describe a true marriage. "What? Know ye not that he which is joined to an harlot is one body? For two, saith He, shall be one flesh… Flee fornication. Every sin that a man doeth is without the body: but he that committeth fornication sinneth against his own body" (I Corinthians 6:16, 18). This passage, incidentally, suggests that a woman who submits to extramarital sex becomes, in God's sight, a harlot, whether she yields her body for money or some other reason that she sees as profitable to herself.

On the other hand, it is noteworthy that Jesus, evidently on a different occasion, did not give fornication as an excuse for divorce. "Whosoever putteth away his wife, and marrieth another, committeth adultery: and whosoever marrieth her that is put away from her husband committeth adultery" (Luke 16:18). If there is any doubt, this also applies to wives. "And if a woman shall put away her husband, and be married to another, she committeth adultery" (Mark 10:12).

Since the lord would not contradict Himself, we should conclude that, while there may be some situations in which extramarital sex would create such problems in a marriage that divorce would be better than continuing in an unhealthy or even dangerous relationship, in general it would be better to forgive earlier indiscretions (if accompanied by repentance and present faithfulness) rather than to break up what might otherwise still be a good marriage.

In both cases, however, Christ warned that remarriage after divorce amounts to adultery, a sin which is explicitly forbidden by God's seventh Commandment. Both divorce and remarriage, therefore, are extremely serious steps, and both violate the divine principle of permanent union and faithfulness in marriage.

But this is not the whole story. "The Lord is merciful and gracious, slow to anger, and plenteous in mercy… For He knoweth our frame; He remembereth that we are dust" (Psalm 103:8, 14). "If we confess our sins, He is faithful and just to forgive us our sins" (I John 1:9). This promise is specifically for Christians, and includes even the sin of adultery, if there is genuine repentance. The Lord made this very clear in His dealing with the woman who "was taken in adultery, in the very act" (John 8:4). He reminded her accusers that they also were sinners and had no warrant to punish her. Then He told the woman: "Neither do I condemn thee: go, and sin no more" (John 8:11).

He in no way condoned her sin, but He did forgive her sin, when she gave evidence of godly sorrow and determination not to sin again in this way. Under such conditions, His followers would do well to follow His example. At least in this particular context, He put no further conditions on her freedom, either to return to her husband if he would have her, or to marry another if she were already divorced.

There is one other important Biblical factor to consider in divorce-and-remarriage situations. A Christian should never marry a non-Christian, as this almost inevitably leads to serious friction in the home later on unless the unsaved partner can, by God's grace, be won to Christ. "Be ye not unequally yoked together with unbelievers" (II Corinthians 6:14).

Nevertheless, many Christians insist on doing this very thing. And then what? Also, a person may become a believer after marriage, with the partner still unsaved. In either case, there is an unequal yoke, and the Christian husband or wife may come to desire release from this yoke. The Apostle Paul commands in this case: "…If any brother hath a wife that believeth not, and she be pleased to dwell with him, let him not put her away. And the woman which hath an husband that believeth not, and if he be pleased to dwell with her, let her not leave him." (I Corinthians 7:12, 13). The next verse indicates this is especially important for the sake of the children, who are often the ones hurt most by a divorce.

But suppose the unsaved spouse is the one who insists on a divorce. "If the unbelieving depart, let him depart. A brother or sister is not under bondage in such cases: but God hath called us to peace" (I Corinthians 7:15).

This obviously means that the Christian husband or wife is then at liberty to remarry. In fact, if there are children involved, and if a caring Christian spouse can be found, it would be good to remarry, for children need the love and guidance of both a father and mother, provided, of course, that the stepmother or stepfather is “in the Lord” (I Corinthians 7:39) and desires to assume such a responsibility.

By extension, these principles could be applied to other situations that the Scriptures do not cover explicitly. As noted above, God is able and willing to forgive all sins, including even the sin of getting a divorce for trivial reasons. He has called us to peace, not legal bondage, and He can make a good marriage and a happy home no matter what the previous history of the people involved may have been, provided that true repentance, proper restitution, and genuine saving faith and sincere desire to serve the Lord now exist in their lives. (CHRISTIAN DIVORCE AND REMARRIAGE - Under what conditions may Christians divorce and remarry? - ChristianAnswers.Net)
 
Basi tufanye homework zetu badala kuhamanika na tamaa ya ngono na kutangaza doa. Hivyo vitu vingine tunavyoita raha ni ubinafsi tu. Mfano, mume/mke wako hataki uwe mzururaji,mlevi au mzinzi na wewe unasema anakunyima raha. Hiyo ni sawa? Kama watu wanaishi kwenye uchumba miaka hata 5 inakuwaje wanashindana baada ya miezi 6 tu? Naona ubinafsi ndio tatizo kubwa mkuu. Kwani kuna mtu anaishi kwenye ndoa bila kulipa gaharama ya kuishi na mwenzake?

Uchumba wa miaka mitano kila mtu anaishi kwake mnakutana kwa masaa machache kwa wiki hata kwa siku chache kwa wiki ni tofauti kubwa na kuishi pamoja 24/7. Kuna mambo mengine ambayo huwezi kuyajua/kuyaona kama mtu huishi naye. Sidhani kama kanisa lina haki ya kuwalazimisha watu waishi kwenye ndoa isiyo na mapenzi miaka nenda miaka rudi eti kwa vile kuachana ni dhambi. Sidhani hata Mungu wetu anapenda kuona viumbe wake wanaishi maisha yasiyo na raha yoyote hapa duniani pamoja na kuwa wana uwezo wa kuweza kubadilisha hali hiyo. Pia ndoa hazivunjiki kwa ngono, ulevi na uzururaji tu kuna mambo mengine zaidi ya hayo ambayo pia yanaweza kabisa kusababisha ndoa kuvunjika.
 
In my eyes huyo jamaa hahitaji msaada because in case like his most people are facing serious strugle to move on.So far anaelekea to the right direction other than kuwa more careful on his selection.You have to understand there is life after divorce and the only thing is kama walijaaliwa watoto ahakikishe anawahudumia kadri ya uwezo wake.Sometime divorce is good in reality example on myself wazee wangu waliachana mimi nikiwa mdogo hata sikumbuki lakini kwa kumjua mzee wangu namshukuru mama yangu to this days kwa kazi aliyofanya kwa kunilea to be a person I am today.Ningeishi na huyu mzee mlevi asiyejali watoto wake na asiyejuwa hata yeye ni muumini wa dini gani,Wow THANK YOU MOM AND ILOVE YOU SO MUCH.

SAHIBA.
 
Aoe kiserekali hilo kanisa litamyeyusha tu. Kanisa haliruhusu kabisa divorce, nadhani mpaka Vatican itoe ruksa.
Hii sheria sijui kama ipo kwenye Biblia au ni ya kanisa tu, so sijui ni dhambi ama vipi.
 
Ndo maana wengine hatutaki kujifunga vitanzi na makanisa....kama waweza kukamua maziwa yanini kufunga ng'ombe? Mara majani, mashudu na usafi shida moja kwa moja.....
 
Ndo maana wengine hatutaki kujifunga vitanzi na makanisa....kama waweza kukamua maziwa yanini kufunga ng'ombe? Mara majani, mashudu na usafi shida moja kwa moja.....

Unasubri wenzio wakufugie then wewe wakamua maziwa tuu..?! Fuga wako Mkuu utakuwa na uhuru na mamlaka zaidi ya kumkamua upendavyo.
 
Hizi ndizo baadhi ya taratibu za kanisa ambazo zimepitwa na wakati. Huyu Mtu tuseme ana miaka 25 halafu mwenyewe angependa kuoa au kuolewa tena lakini kanisa haliruhusu hilo. Ina maana aishi for the rest of his/her life bila ndoa!!!! Sasa ni bora afanye uzinzi akiwa ameoa/kuolewa au afanye uzinzi akiwa yuko single!!!? Kanisa linataka tuamini mtu kama huyu ataishi for the rest of his/her life bila kushiriki katika tendo la ndoa!!! Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Semeni nyie viazi sisi mihogo nongwa. Wachungu!
 
Tungekuwa tunajadili mada zihusuzo dini zetu kistaarabu kama hivi basi tungekuwa tukielimishana lakini inasikitisha kuwa tunachagua dini na dini na kurusha kashfa. Hebu mara nyengine tujadiliane kistaarabu kama hivi.
 
Back
Top Bottom