Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
Habari zenu wapendwa!
Leo naomba niwaulize swali.Umekutana na mwanamke/mwanaume ambae aliwahi kua kwenye ndoa na anakwambia bila maelezo ya ziada!Baada ya kua karibu sana unaona uulize kidogo chanzo cha kuachana..muda waliokua pamoja na muda gani tangu wameachana!Unapata majibu yako ila la tatu anakujibu kwamba imepita muda fulani tangu tumetengana..labda tuseme zaidi kidogo ya mwaka!Ndoa haijavunjwa kisheria ni wao tu hawaishi pamoja!
Je mtu kama huyo achukuliwe kama bado ni mke/mume wa mtu?
Leo naomba niwaulize swali.Umekutana na mwanamke/mwanaume ambae aliwahi kua kwenye ndoa na anakwambia bila maelezo ya ziada!Baada ya kua karibu sana unaona uulize kidogo chanzo cha kuachana..muda waliokua pamoja na muda gani tangu wameachana!Unapata majibu yako ila la tatu anakujibu kwamba imepita muda fulani tangu tumetengana..labda tuseme zaidi kidogo ya mwaka!Ndoa haijavunjwa kisheria ni wao tu hawaishi pamoja!
Je mtu kama huyo achukuliwe kama bado ni mke/mume wa mtu?