BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
lijamaa limoja liliachwa na demu wake live live demu alikuwa anafagilia mapene jamaa ndio katoka univ demu anataka mashoping ya woolworths msela apeche aroro.....
.....basi jamaa kamkuta kiwanja shori wake na mshefa kamind akataka kubwia vidonge afe.....nikamwambia kunywa.....wala sikumkataza na wala sikuita ndugu zake....tangu siku ile kawa kama mie akiachwa anashukuru..ndio mwanzo wa kupata mashori wapaya wakali....
Belinda wewe umeshaacha wangapi?
Huyo rafiki yako lakini aliipata pata na haiwezi kumtoka hii japo maisha yanaendelea.
Bolded words: Sitaweza kukujibu sasa hivi na hapa jamvini,subiri nifikirie listi yote ya walioniacha/niliowaacha halafu nitakuPM na historia zao. Kuelezea najua sana,ushindwe wewe kusoma!