Kuacha kula chakula cha usiku kwa mama mja -mzito .....!

NGOSWE.120

JF-Expert Member
Jul 9, 2011
219
233
Wakuu wana JF,

Naomba kufahamishwa kwa yeyote yule anayefahamu au kushare uzoefu alio-nao:

1. Mama mja mzito wa miezi saba anaweza kuendelea kula mua/ kudinywa au hairuhusiwi?
2. kuna swala la kuongeza njia kwa mama mja mzito, je hii njia huwa inaongezwa kwa kudinywa hadi inapotimia miezi 9 au?
3. Nimewahi kusikia kuwa sio vizuri kufanya tendo la ndoa kwa mama mja mzito kuanzia miezi 7 coz inasababisha siku ya kujifungua kupata aibu kubwa kwa kuanza kutoa mbegu za kiume za mumewe. Je kuna ukweli wowote juu ya hili jambo?

Natanguliza shukrani za dhati.

Asanteni sana!
 
Back
Top Bottom