Kuacha chabo inawezekana!!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,933
22,095
"""KAULI MBIU YA WIKI YA MAADHIMISHO YA TB DUNIAN""

Hata kama ni ngumu kuisha basi tupunguze jamani hii kitu chabo
unakuta mtu anakaa gorofani yuko karibu na choo cha mwenzake
anaamua kabisa kubinua mimacho yake kuchungulia wazee wetu jinsi wanavyojimwagia...awakupenda hawa kuoga vyoo vya wazi basi tu tandale ndio ishakuwa kwetu,..najua ipo sehemu nyingine nyingi...
tatizo hili limezikumba hadi nyumba za kupanga unakuta usiku wa manane
watu wazima na akili zao wameweka viti ama vidubwasha vya kuwekea uchafu wanapandia juu kuchungulia mwenzao anavyoumizwa,..jamani mbona unajiumiza hivyo kwa lazima uchungulie live..embu tuachien na starehe zetu tena wakati mwingine ukiwaona ndio kwanza unaongeza sped ya kukamuliwa

jamani hata kama ngumu kuacha basi tupunguze huu si ugonjwa unaponyeka
 
"""KAULI MBIU YA WIKI YA MAADHIMISHO YA TB DUNIAN""

Hata kama ni ngumu kuisha basi tupunguze jamani hii kitu chabo
unakuta mtu anakaa gorofani yuko karibu na choo cha mwenzake
anaamua kabisa kubinua mimacho yake kuchungulia wazee wetu jinsi wanavyojimwagia...awakupenda hawa kuoga vyoo vya wazi basi tu tandale ndio ishakuwa kwetu,..najua ipo sehemu nyingine nyingi...
tatizo hili limezikumba hadi nyumba za kupanga unakuta usiku wa manane
watu wazima na akili zao wameweka viti ama vidubwasha vya kuwekea uchafu wanapandia juu kuchungulia mwenzao anavyoumizwa,..jamani mbona unajiumiza hivyo kwa lazima uchungulie live..embu tuachien na starehe zetu tena wakati mwingine ukiwaona ndio kwanza unaongeza sped ya kukamuliwa

jamani hata kama ngumu kuacha basi tupunguze huu si ugonjwa unaponyeka
we umeamkaje leo?
 
"""KAULI MBIU YA WIKI YA MAADHIMISHO YA TB DUNIAN""

Hata kama ni ngumu kuisha basi tupunguze jamani hii kitu chabo
unakuta mtu anakaa gorofani yuko karibu na choo cha mwenzake
anaamua kabisa kubinua mimacho yake kuchungulia wazee wetu jinsi wanavyojimwagia...awakupenda hawa kuoga vyoo vya wazi basi tu tandale ndio ishakuwa kwetu,..najua ipo sehemu nyingine nyingi...
tatizo hili limezikumba hadi nyumba za kupanga unakuta usiku wa manane
watu wazima na akili zao wameweka viti ama vidubwasha vya kuwekea uchafu wanapandia juu kuchungulia mwenzao anavyoumizwa,..jamani mbona unajiumiza hivyo kwa lazima uchungulie live..embu tuachien na starehe zetu tena wakati mwingine ukiwaona ndio kwanza unaongeza sped ya kukamuliwa

jamani hata kama ngumu kuacha basi tupunguze huu si ugonjwa unaponyeka

hiyo red inahusiana vipi na chabo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom