Samahani kwenye promosheni hizo simu wanaziuza sh ngapi?Nimenunua simu IDEOS kwenye promotion ya Tigo sasa nikiweka laini ya simu nyingine inaandika SIM network unlock PIN. Naombeni msaada nifanye nini ili nitumie laini nyingine (unlocking ) Natanguliza shukrani.
Mkuu nashukuru kwa maelezo. Naomba maelekezo jinsi ya kufanya hizo tararibu.Flash custom ROM... Jaribu FusionIDEOS,Dronix au Cyanogen 7 Nightly Realeses..its easy. Kama utahitaji maelekezo sema...
Samahani kwenye promosheni hizo simu wanaziuza sh ngapi?
taja imetengenezwa na kampuni gani? toa battry soma pale nyuma then pm model na imei yake bila kukosea.oa
afu nyie acheni uongo anaongelea network lock ile tigo ilio weka kuzuia kingiza line tofauti eti flash custom rom custom rom inabadili tu os ..ile lock iko kwenye boot loader so rom mpya aisaidii chochote .....
mkuu ukifanikiwa naomba unisaidie na mimi ..