Ku-delete window xp moja

Prisoner

Senior Member
Jan 26, 2010
119
0
Habari wana JF mimi nimkuja hapa leo kuwaomba swali kwani nawajua wa kina SHY wanaweza kunisave nilisomaga wanavyo save watu. Laptop yangu ni Toshiba pro. sasa ilikuwa na window XP nikasahau Window Password kwa kulog in nikaiformat kisha nikaweka windo ingine sasa wakati nawasha (switch on) inakuja windo zote mbili inasema kama una select windo ya kwanza au ya pili au itaran automatic ikiran auto inanipa window hii niliyo install nikichagua inanipa window ile ya zamani kwani naichagua sasa mimi nataka ibaki moja je Nifanyaje??
 
Njia rahisi zaidi ni kwenda my computer right click - Properties - Advanced - Startup and Recovery - Hapo ndio Utaweza kuondoa moja kwenye Mtiririko wa kuwaka then uondoke hapo uka delete file la windows na mengine lakini hii inategemea na jinsi ulivyo install hiyo windows xp kama ziko mbili labda inawezekana ina share programe files hicho ni kitu cha kuangalia
 
Well well:

Kwanza, kama uli-FORMAT haiwezi ku-LOAD multiple Windows XP!

Pili, Ulichofanya uli-INSTALL Parallel Windows XP na ndiyo maana ina-DISPLAY zote mbili wakati wa ku-BOOT

Tatu, Kama una utaalamu wa kawaida wa ma-COMPUTER, LOAD XP kama kawaida, RIGHT-CLICK "My Computer" icon, then CLICK "Properties" from the drop down menu, then, CLICK "Advanced" TAB, then Click "Setting" icon, The click "Edit" button, utakuta kitu kama hii:-
[boot loader]
timeout=30
default=multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS
[operating systems]
multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS="Microsoft Windows XP Professional" /noexecute=optin /fastdetect

Ukifika hapo nenda kanywe kahawa, halafu urudi jamvini tuendelee!
 
Well well:

Kwanza, kama uli-FORMAT haiwezi ku-LOAD multiple Windows XP!

Pili, Ulichofanya uli-INSTALL Parallel Windows XP na ndiyo maana ina-DISPLAY zote mbili wakati wa ku-BOOT

Tatu, Kama una utaalamu wa kawaida wa ma-COMPUTER, LOAD XP kama kawaida, RIGHT-CLICK "My Computer" icon, then CLICK "Properties" from the drop down menu, then, CLICK "Advanced" TAB, then Click "Setting" icon, The click "Edit" button, utakuta kitu kama hii:-


Ukifika hapo nenda kanywe kahawa, halafu urudi jamvini tuendelee!


Nimekunywa Mukubwa Baba_Enock sasa tuenderee ok
 
Well well:

Kwanza, kama uli-FORMAT haiwezi ku-LOAD multiple Windows XP!

Pili, Ulichofanya uli-INSTALL Parallel Windows XP na ndiyo maana ina-DISPLAY zote mbili wakati wa ku-BOOT

Tatu, Kama una utaalamu wa kawaida wa ma-COMPUTER, LOAD XP kama kawaida, RIGHT-CLICK "My Computer" icon, then CLICK "Properties" from the drop down menu, then, CLICK "Advanced" TAB, then Click "Setting" icon, The click "Edit" button, utakuta kitu kama hii:-


Ukifika hapo nenda kanywe kahawa, halafu urudi jamvini tuendelee!

huyo msababto hanywi kahawa..... hahahahhh....... mi nafikiri ajaribu kumess up na hizo code akiona haiwaki tena basi aniuzie kwa bei rahisi... anyway alichosema jama wa kwanza its right kwenye properties ya my comp..ataweza kuchagua ipi iwe default
 
Baba_Enock Vipi Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa au Shy unasemaje juu ya hiloooo? maana naona Baba_Enock ame slipufowadi
 
mkuu. utaona line mbile za mfumo huu.


multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS="Micro soft Windows XP Professional" /noexecute=optin /fastdetect

Remove ya chini, No inategemea unachagua ipi unapoingia kama ni ya kwanza remove ya pili na kama ni ya pili remove ya kwanza.

Note:

You are playying with boot.ini file any mess up itafanya system isiwake.
 
Njia niliyoelekeza mimi ni hatua kwa hatua na ndio njia rahisi zaidi ila pia inategemeana kama una full rights na kompyuta husika kama huna fullrights basi unaweza usifanikiwe katika vitu haswa hiyo hatua ya mwisho
 
Njia niliyoelekeza mimi ni hatua kwa hatua na ndio njia rahisi zaidi ila pia inategemeana kama una full rights na kompyuta husika kama huna fullrights basi unaweza usifanikiwe katika vitu haswa hiyo hatua ya mwisho


Baba_Enock, Shy. Pg na woote walionisave nimefanikiwa sana tu asanteni sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom