Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Pamoja na kwamba kuna vitu tunawaamulia wazanzibari lakini ktk kudai muungano uliosawa mametuacha, wana nchi yao na katba yao sisi Tanganyika haipo na hatujali. Tunalipa ushuru bidhaa za zenj wao halipi.