Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Sijui ni kujiamini sana kwa kuwa na wateja wengi, sijui ni dharau, mtanisaidia,
Angalia, wanafungua saa 4 asb hasa mbagala, wakati wenzao saa moja,
vibanda viko vichache, barabara ya kilwa wako rangi tatu tu, barabara ya morogoro kuanzia ubungo viko vibanda vitatu tu, na cha mwisho kiko magomeni usarama kingine kiko mnazi mmoja.
yaani ni kero tupu na ukienda wale vijana hawana speed kabisa,
nashauri waongeze zaidi vibanda, km Muhimbili hakuna tigo, na sehemu nyingine kwenye mlundikano wa watu hakuna tigo ila zain wako kila sehemu.
Angalia, wanafungua saa 4 asb hasa mbagala, wakati wenzao saa moja,
vibanda viko vichache, barabara ya kilwa wako rangi tatu tu, barabara ya morogoro kuanzia ubungo viko vibanda vitatu tu, na cha mwisho kiko magomeni usarama kingine kiko mnazi mmoja.
yaani ni kero tupu na ukienda wale vijana hawana speed kabisa,
nashauri waongeze zaidi vibanda, km Muhimbili hakuna tigo, na sehemu nyingine kwenye mlundikano wa watu hakuna tigo ila zain wako kila sehemu.