Kozi za Uhandisi zinazolipa Tanzania

Programming,microcontroller,microprocessor technology nk ni baadhi ya masomo katika electrical eng.Na hayo masomo ni muhimu kwenye suala la "automation"Kwa hiyo ni lazima mtu ajifunze na awe na uelewa.Siongei kiushabiki hapa na wala siko biased!Kwanza una miaka mingapi na una elimu level gani?Nisije nikawa naongea na mtu ambaye ndiye amedahiliwa mwaka wa kwanza.

Ujajibu swali unakimbia kimbia tu eti una mention terminologies, umeshindwa hoja ya electrical na mechanical Aya bhana, unataka kujua elimu yangu ili iweje Kuna mtu anayeenda kuanza chuo anaongea na anajua nilichoandika sawa mi nae nasubiri kuingia chuo mwaka huu.......nimekuuliza swali we unaesoma electrical kwanza electrical hamfundishwi jinsi ya ku design electronics circuits kwa kutumia software km proteus, multism nyie labda Autocad, Sina maana electronics ni bora kuliko electrical ila huwezi sema eti electrical engineer anaweza fanya kazi za electronics, ndo mana kwenye kampuni Kuna vitengo km power ndo electrical engineer utawakuta uko Ata electronics na I. T nao Wana vitengo vyao na haviingiliani.
 
Kuliko kubishana ni bora ukaomba ufafanuzi.Hiyo hatua hata mimi nilipitia na wala haikunijenga!Wewe usibabaike na hayo majina ya course cha muhimu ujue "content" zake.

Duh jamaa una dharau eti Ata wewe ulipitia hatua km yangu, mi nasimama pale pale mtu wa electronics hawezi fanya kazi za electrical na mtu wa electrical hawezi fanya kazi za electronics except ni juhudi za mtu kupenda kujua kazi Ata nje ya kozi yake.
 
Duh jamaa una dharau eti Ata wewe ulipitia hatua km yangu, mi nasimama pale pale mtu wa electronics hawezi fanya kazi za electrical na mtu wa electrical hawezi fanya kazi za electronics except ni juhudi za mtu kupenda kujua kazi Ata nje ya kozi yake.

Haya,ngoja nikupe ushindi.Mungu akupe nguvu na afya uweze kwenda chuo,ukasome kwa bidii ujue mambo.Siku kama ya leo mwakani utakua mtu mwenye uelewa mwingine kuhusiana na unachoamini sasa.Nakutakia siku njema.
 
Haya,ngoja nikupe ushindi.Mungu akupe nguvu na afya uweze kwenda chuo,ukasome kwa bidii ujue mambo.Siku kama ya leo mwakani utakua mtu mwenye uelewa mwingine kuhusiana na unachoamini sasa.Nakutakia siku njema.

Nawe pia bro, nataman siku tuonane tubadilishane mawazo km upo udsm basi tutaonana ila mi sisomi kozi yoyote Kati ya izo. Ahsante na ubarikiwe bro.
 
Tatzo now day mech anazaraulika sana

Mechanical ni moja ya kozi nzuri za kihandisi anaedharau kozi ya kihandisi labda yeye sio mhandisi ndo mana hajui umuhimu wake mana kozi nyingi za kihandisi zinategemeana sana.
 
Unajua nn bro! Mm kuna uncle wang alisoma mech pale DIT na baada ya kumalza faster akapata mzgo pale bandarn lakn alishawah kuniambia dogo usisome mech maana tunazaraulika sana ss yan pale bandarn tunafanya kaz had na wat wa darasa la 7 na mshahara wenyewe ni 650000
 
Yan mech ni ngumu kusoma ila kazi zake rahc sana hata kwamba m2 wa darasa la 7 akifundshwa kdg 2 anaweza kupiga kazi vzur 2
 
vp kuhusu industrial engineering mkuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sio anazaraulika
Hiyo kozi watu wengi inawashinda, pia wanaichukia kwa sababu haina mambo ya kidijitali

Aliyekudanganya nani?


Kwa taarifa tu Mecha ndio koz pekee ambayo huwez kukosa ajira...na ni koz unayoweza kujiajiri ukapiga hela ndefu....

Ndio kozi inayoendana na digital system
 
vp kuhusu industrial engineering mkuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Ni mtoto Wa mechanical engineering

Nilichaguliwa udsm

Nikaipiga chini nikaenda Mecha.

Industrial ni based kwa viwandan tu kama ilivyo automobile kwa magari tu...lkn hawaendi ndan zaid

But Mecha anawaingilia kwan ni mama yao.

Now days kuna aircraft maintenance engineering nayo ni mtoto wa mecha

Am proud to be a mechanical engineering
 
Tatizo kila mtu anavutia upande wake nimepiga electrical ni kozi nzuri sana lakini siwezi kumdharau mtu wa Mech au civil kwa sababu Hawa ndi father of engineering wanategemeana
 
Mkuu Aroon lakin c inakua applicable kwenye viwanda vya aina zote..?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Acheni kudanganyana bwana kozi ya engineering ambayo inalipa kwa tz ni biomedical engineering. Hii kitu ni noma mana inameza pia makozi kibao ya engineering.mechaninics,electronic, pharmacy, na madude kibao ndani ya kozi moja tu.hapo ndo mwisho wa habari.but tz hawatoi degree yake.ila ukifanikiwa kupiga nchi za watu ukirudi tz ni shangwe
 
Kozi inayolipa pesa ndefu ya uinjinia ni political engineering. Hii ndio hottest hapa tanzania na haichuji.

Prof maarufu wa political engineering ni Lowassa, huyu ndio archtect wa politics za Tanzania. Akikufundisha lazima utishe.

Someni political engineering.
 
Naona kila mtu anavutia upande wake. Kifupi kabisa hakuna kozi mbaya ikiwa tu unaipenda na inakulipa.
Sasa unapochagua kozi yoyote ya Engineering ni vizuri ukaangalia ikoje katika SOKO LA AJIRA(Inaajirika au unaweza kujiajiri), kwa maoni yangu kwa sasa kuajiriwa ni bahati sana hivyo mtu atazame kujiajiri zaidi, kwa mwendo huo kozi hizi ni nzuri zaidi.
1/MECHANICAL Engineering.
2/CIVIL Engineering.
3/ELECTRICAL Engineering.
 
Back
Top Bottom