Kozi za Uhandisi zinazolipa Tanzania

hiyo course yenye red hapo..nime apply pale sua..ila nlikua naomba kama unaipata kwa undan zaid ya niijuavyo mnieleweshe
-je inafanana na civil engineering?
-mtu akiisoma ataweza fanya kazi kama za mtu wa civil engineering??
naomben msaada wana jf

irrigation and water resources engineering ifanane na CIVIL? duh hii kali aisee
 
Mechanical engineering

Ndio baba na mama yenu ktk uhandisi hata soko lake lipo wide


Am proud to be a mechanical engineer

Mechanical hatii mguu kwa electrical hata kidogo.
Mechanical anakimbia kazi za electeical but Electrical anaweza kufanya kazi za mechanical labda atazidiwa kwenye designing tu. Hata kama electrical hawezi lakini anachukua muda mdogo sana kuelewa kazi za mechanical hasa viwandani.
Electrical is all about. Proud to be part of them.
 
tell us please how this man is marketable

sua ni chuo speacial kwa kilmo so wanafundshwa v2 vng abt kilimo, pia mchaka mchaka wa sua c wa ktoto so alyetoka na bachelor pale kafanya kaz ya ziada, pia nlzungumza na researcher flan hv wa klimo ambae anaphd ya maswala ya kilmo anasema ktk soko la ajra anaangaliwa m2 wa sua b4 wa chuo kngne coz hata digrii zao huwa wanaxoma na mambo ya ziada yanayohusu kilimo coz chuo chao kmespecialize ktk maswala hayo!
 
Mechanical hatii mguu kwa electrical hata kidogo.
Mechanical anakimbia kazi za electeical but Electrical anaweza kufanya kazi za mechanical labda atazidiwa kwenye designing tu. Hata kama electrical hawezi lakini anachukua muda mdogo sana kuelewa kazi za mechanical hasa viwandani.
Electrical is all about. Proud to be part of them.

Duuuh! Hyo Ndo Nackia Leo...Nadhan Mechanical Bdo Hauko Na Info Zake Vzur.,try To Make A Research Bro
 
Kwangu mimi TOP 3 ....1.ELECTRICAL 2.MECHANICAL 3.CIVIL
Kama utakubali au kukataa ni juu yako!
 
Mechanical hatii mguu kwa electrical hata kidogo.Mechanical anakimbia kazi za electeical but Electrical anaweza kufanya kazi za mechanical labda atazidiwa kwenye designing tu. Hata kama electrical hawezi lakini anachukua muda mdogo sana kuelewa kazi za mechanical hasa viwandani. Electrical is all about. Proud to be part of them.
Mkuu ningeomba unieleweshe vizuri ni kazi gani ambazo zinamfanya Electrical kuwa juu zaidi ya Mechanical?.Je nchi yetu inapoelekea hasa kati ya hizo course mbili wataalamu gani watahitajika kwa kiasi kikubwa?.Je katika nchi yetu na hata vyuoni hasa vyuo vikuu ni wawapi wanapatikana kwa wingi kati ya hizo course mbili?.Je anaesoma Electromechanical anasoko kubwa kuliko hizo engineering mbili?.Je soko la ajira linapatikana kwa mtu alie compitent au kwa mtu yeyote katika fani husika?.Kwa nini unafikili Electrical anaweza fanya kazi nyingi za mechanical?,Je hata akizifanya atazifanya kwa ubora ule ule angeo ufanya Mech eng?.Tafadhali naomba unieleweshe vizuri au kama kuna mtu mwenye ufahamu juu ya haya anielezee vizuri?.
 
Kwangu mimi TOP 3 ....1.ELECTRICAL 2.MECHANICAL 3.CIVILKama utakubali au kukataa ni juu yako!
Mkuu kwa nini umeona hizo ndio course zako top 3?.Je kama huhitaji tuhoji kwa nini umedhiorodhesha hapa?.Ili kuondoa dowt kwa nini hujaeleza ubora wa kila course na upungufu wake hasa kwa Tz yetu?.Tunaomba uzielezee kwa kina ili tusihoji.Kwa nini umeamua kuchagua hizo course na sio course zingine.
 
Mkuu ningeomba unieleweshe vizuri ni kazi gani ambazo zinamfanya Electrical kuwa juu zaidi ya Mechanical?.Je nchi yetu inapoelekea hasa kati ya hizo course mbili wataalamu gani watahitajika kwa kiasi kikubwa?.Je katika nchi yetu na hata vyuoni hasa vyuo vikuu ni wawapi wanapatikana kwa wingi kati ya hizo course mbili?.Je anaesoma Electromechanical anasoko kubwa kuliko hizo engineering mbili?.Je soko la ajira linapatikana kwa mtu alie compitent au kwa mtu yeyote katika fani husika?.Kwa nini unafikili Electrical anaweza fanya kazi nyingi za mechanical?,Je hata akizifanya atazifanya kwa ubora ule ule angeo ufanya Mech eng?.Tafadhali naomba unieleweshe vizuri au kama kuna mtu mwenye ufahamu juu ya haya anielezee vizuri?.

Ingia google. Electrical Engineering, Mechanical Engineering.. utasoma yote utaelewa.
 
Mkuu SaaMbovu kwani masuali yote hayo niliyouliza majibu yake yapo google?.Ili ni jukwa huru na unapotetea kitu au ongelea lazima uwe na uhakika nacho.Kama wote wangekuwa wakihitaji kujua jambo wanaenda google basi mada hii isingechangiwa na mtu hata mmoja,wote wenye kuhitaji kujua course nzuri au ubora wa course wangeingia google.
 
Engineering zote ni designing ... So expert katika designing ni muhusika wa ile coz... Uwe elect uwe mechn uwe civil. Nacwenginewe .. .. Huwez compete part flani kwa mwenzake kila mmoja atajiweka juu.
 
Katika ufahamu wangu na ninavyoo elewa coz zinzo kuja juu ghafla katika soko ndo kozi za kuziogopa .kutokana kwamba zikijaaa tu ..utakaaa mtaaani ....coz knakua na udadi flani ya watu wakipatikana tu....wengine mtafte njia..
Lakini cozi za kukimbilia ni coz amabzo ..hazipo juu wala chini bali ni normal ..amabzo unaweza jiajiri MWENYEWE hata kwa mtaji mdogo. Ambazo znaendelea kuhitajika day to day..na znazolingana kwa technologia ya nchi yetu.
 
Electrical,Civil na Mechanical ni core course Civil ni ya muda sana ikifatiwa na mechanical then electrical ambayo field yake imeanza kuwa usefull karne 19 .In fact electrical iko too widen na ni nzuri coz if u aint any skills abouy it you couldn't do it ..Tofauti na mechanical ambayo u can try ur best to do
 
Nafurahi mnavozisifia kweli kozi zenu na kusema ni nzuri kila mmoja akisrma kozi yake ni zaidi ya zote... wakati ukisema hivyo kumbuka Engineering inahusu sana design,passion ya kufanya jambo husika.. bila kujionea huruma unajisifia upo unasoma electrical eng lakini hujui hata mosfet transistor ipoje huwezi kudesign hata van de graph generator huwezi kusuka hata transformer wengine wanaambiwa petroleum eng ni bora kuliko zote mara mining Je hawa watu walipata walichoambiwa... kumbukeni mahali tunapoenda watu hawata consider vyeti vyako ila uwezo wako.. mfano kuna kazi inaitwa programming ni most paid part time job lakini hata usome na hauna passion huna projects zako uende na cheti gani hatapata kazi.. Kwa upande kila eng course ina soko iff unauwezo ka kufanya kitu na wala si jina la kozi NB :Make your passion your proffesion
 
Nafurahi mnavozisifia kweli kozi zenu na kusema ni nzuri kila mmoja akisrma kozi yake ni zaidi ya zote... wakati ukisema hivyo kumbuka Engineering inahusu sana design,passion ya kufanya jambo husika.. bila kujionea huruma unajisifia upo unasoma electrical eng lakini hujui hata mosfet transistor ipoje huwezi kudesign hata van de graph generator huwezi kusuka hata transformer wengine wanaambiwa petroleum eng ni bora kuliko zote mara mining Je hawa watu walipata walichoambiwa... kumbukeni mahali tunapoenda watu hawata consider vyeti vyako ila uwezo wako.. mfano kuna kazi inaitwa programming ni most paid part time job lakini hata usome na hauna passion huna projects zako uende na cheti gani hatapata kazi.. Kwa upande kila eng course ina soko iff unauwezo ka kufanya kitu na wala si jina la kozi NB :Make your passion your proffesion

Word! Kaka,i Salute U...Engineering Is Like A Talent!
 
Back
Top Bottom